Mimi sijasema hayo unayoyasema. Huo ni utoko unaotoka kwenye ubongo wako uliojaa giza la Uovu na udhalimu. Unaandika porojo za gwajima na pengo, na ukishaandika unajisikia umetimiza wajibu wako.
Huyu gwajima ni wa kufungwa huwezi kutukana hadharani namna ile akaachiwa
Wamemkosa jembe limepona na anarudi mtaani kuendelea kupambana na wanafiki na wasaliti
Ww umetukana watu wangapi hadhalani hapo hakuna kesi acheni ushabiki wa mambo
Hivi huyo mtaalamu wa mazingaombwe naye mnamtetea eti kisa anajiita mkristo. Alipokuwa anajigamba alisema anawaagiza malaika wamwadhibu Pengo sasa yeye ndiye ameadhibiwa, Aibu ya karne.
Kama kweli pengo amemsamehe, aende kumuona hospitalini.
Maskini MbashaHivi huyu si ndiyo alıkuwa na skandali ya kuvunja amri ya sita na mke wa Mbasha?
Profesa Ibrahim Lipumba,mchana wa Leo tarehe 30/03/2015, amemtembelea Askofu Josephat Gwajima aliyelazwa TMJ Hospital.
Amefurahi kuona hali yake inazidi kuimarika na ameshatoka kwenye wodi ya wagon jawa mahututi,(ICU).