Hana lolote huyo anatafuta huruma ya watu baada ya kuona kibao kinamgeukia sasa ili hali alijitapa kuwa yeye haogopi polisi,mahakama wala bunge kumbe hakuna kitu...soft kama pamba vileeeeee,yeye aendelee tu kuwatapeli wafuasi wake ambao amewakamata akili kama dini zingine zilivyo,kwa sababu haiingii akilini mtu uanze kutukana watu kwa kujitapa halafu unapoulizwa then unajifanya kuanza kudondoka dondoka,stupid ape!