Hahahahahahah I love this!
mkuu... hawa jamaa mtandao wao sasa umehamia Indonesia from Lebanon ... Lebanon sasa hawataki upuuzi wa ugaidi.... na huyu RA anakwenda sana Indonesia na anakiri mwenyewe.... hii ni dhahiri kuna recruits wa Kizanzibari Topical.., Charity Boy..., Kishongo..., Mtu Wa Pwani.., MS wanakutana nae huko kula tende pamoja... na kuwapa mirungi ili kuwa brain wash... hii group ya Al Jamaa Al Islamiya hatari sana ... ndio walio conspire jointly with other groups na kufanya assasination ya Anwar Sadat wa Egypt in 1981