tumia akili basi jombaaDuni Haji karudi mbona hasemwi?
CUF hawana mtu wa kukiongoza Chama zaidi ya Lipumba, Uenyekiti ataupata.Are you guys serious?Is he back?How did Cuf members react?Incredible!
Nchi zote za Africa, sijawahi kuona wapinzani wanaridhika na matokeo. Mtabaki hivyo hivyo.Uchaguzi ungekuwa sio wa kihuni wangeaibika asubuhi mapema
na wanajua
Mi nimestuka kidogo pale aliposema kuwa viongozi wa Dini wamemuomba arudi madarakani, sasa sijui wa Dini gani!?CUF hawana mtu wa kukiongoza Chama zaidi ya Lipumba, Uenyekiti ataupata.
Mkuu seriously hujui ni Dini gani?Mi nimestuka kidogo pale aliposema kuwa viongozi wa Dini wamemuomba arudi madarakani, sasa sijui wa Dini gani!?
Kweli mkuu, sijajua ni wa Dini gani viongozi hao wanaomtaka Lipumba arejee kwenye uenyekiti.Mkuu seriously hujui ni Dini gani?
MwanaCUF yoyote aje atuambie hapa ni nani ndani ya CUF atakuwa Mwenyekiti tofauti na Lipumba.
usimseme sana mwache amechoka katoka kazini ndomanatumia akili basi jombaa
Fikra za kijuha hizi,Lipumba ni mzigo CUF.Chini ya uenyekiti wake chama bara kilikuwa na wabunge wawili tu.Alipojiuzulu nafasi ya uenyekiti tena katikati ya uchaguzi mkuu CUF imeweza kuongeza idadi na kupata wabunge 9.Ninamshauri maalim asimrejeshe Lipumba kwa kupokea barua yake.Lipumba asubiri mpaka august 21 agombee tena nafasi ya uenyekiti wanachama waamue.CUF hawana mtu wa kukiongoza Chama zaidi ya Lipumba, Uenyekiti ataupata.
Kuna kikundi cha watu wachache ndani ya CUF kikiratibiwa na Abdul Kambaya ndio vinara wa kulazimisha kurejea kwa Lipumba CUF.Kweli mkuu, sijajua ni wa Dini gani viongozi hao wanaomtaka Lipumba arejee kwenye uenyekiti.
Mkuu seriously hujui ni Dini gani?
MwanaCUF yoyote aje atuambie hapa ni nani ndani ya CUF atakuwa Mwenyekiti tofauti na Lipumba.
Huyo Abdul Kambaya ni kiongozi wa Dini?Kuna kikundi cha watu wachache ndani ya CUF kikiratibiwa na Abdul Kambaya ndio vinara wa kulazimisha kurejea kwa Lipumba CUF.
Yuda Iskariyote alipogundua kuwa kosa alilolifanya ni kubwa sana ALIJITUNDIKA......Huyo ni Yuda Iskariote....
Binafsi sitapenda kumsikia kwa lolote.
Akae na familia yake huko.
Ujuha ni upi sasa? CUF walipata Wabunge 9 kwa mwavuli wa UKAWA siyo kwa sababu ya Mwenyekiti wa Chama.Fikra za kijuha hizi,Lipumba ni mzigo CUF.Chini ya uenyekiti wake chama bara kilikuwa na wabunge wawili tu.Alipojiuzulu nafasi ya uenyekiti tena katikati ya uchaguzi mkuu CUF imeweza kuongeza idadi na kupata wabunge 9.Ninamshauri maalim asimrejeshe Lipumba kwa kupokea barua yake.Lipumba asubiri mpaka august 21 agombee tena nafasi ya uenyekiti wanachama waamue.
Maalim mwenyezimungu akuzidizie hekma.
Lipumba leo kazungumza na waandishi wa habari akiwa ofisi za CUF kasema mazungumzo yafanyike Zanzibar ili kupata suluhu na Magufuli kama yupo serious na rushwa aanze na walioiba pesa za Escrow kuwapeleka mahakamani...
..Wanachama wa CUF wamempokea vizuri Lipumba na wengi wamejitokeza.. Binafsi naona hata Lipumba 'hakutegemea' UKAWA wangefanya vizuri kiasi hiki na sasa anarudi 'kufaidika' na faida iliyopatikana<br>ya viti vya Ubunge na halmashauri tele
UKAWA walizoshinda.....Ukitazama uchaguzi ulivyotokea ni kama hata UKAWA hawakuwa ready kwa CCM kuondoka....sidhani kama
kuna hata mipango ya namna ya kuendesha manispaa zilizopatikana hasa za Dar...na hata walipoibiwa kura Mbagala na Kigamboni za ubunge sioni hata 'reaction' inayostahili.... watu wa Dar walipiga kura kuitoa CCM completely...
CCM ,UKAWA na kina Lipumba hawakuona this coming...
==================================
Chanzo: Mwananchi