Lipumba 'ajirudisha CUF' kiaina

Lipumba 'ajirudisha CUF' kiaina

Hivi nini mustakabali wa majimbo UKAWA walioporwa? Mbagala,Nyamagana, newala mjini, Utete,mtwara vijijini,mbeya vijijini n.k

Sijasikia UKAWA wakiliongelea hili (Nikosolewe kama nakosea)
 
lipumba akipewa uongozi au akiruhusiwa kurudi CUF najiunga CCM Rasmi utakua ni kutufanya wajinga sie wananchi
 
gundu unalo wewe Lipumba alijiuzulu kwa sababu mawazo yake aliona hayasikilizwi .Subir sasa kuhusu viti maalumu na ruzuku ndio utajua Lipumba alimaanisha nini.

Wewe shuwain nitolee gundu lako hapa mfyuuu viti maalumu vyanihusu nini Mimi na maruzuku yao
 
naona anajikaza tu lakini ameumbuka. yeye amekaa miaka 20 kama mwenyekiti ameambulia wabunge 2 tu!!!. alivyotoka 10
 
lipumba akipewa uongozi au akiruhusiwa kurudi CUF najiunga CCM Rasmi utakua ni kutufanya wajinga sie wananchi
Kwa taarifa yako Lipumba ni mwanachama wa cuf na anaingia katika vikao kama mwenyekiti mstaafu
naona anajikaza tu lakini ameumbuka. yeye amekaa miaka 20 kama mwenyekiti ameambulia wabunge 2 tu!!!. alivyotoka 10
miaka yote hiyo 20 hakukuwa na muungano kama huu wa ukawana pia Kumbuka kwamba UKAWA ilisisiwa na Lipumba na kama vigezo vya ukawa vingefuatwa tungepata zaidi ya majimbo 100 .Na ukawa wangetoa waziri mkuu
 
Lipumba alikimbia kipindi cha kulima leo siku ya mavuno anajipendekeza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom