Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
huyu demu anatafuta bwana hana hoja kakimbilia matusi
Kumbe unatafta madume wenzako humu jf hawapo kabisa hakuna mabasha
huyu demu anatafuta bwana hana hoja kakimbilia matusi
Demu kutafuta bwana ni haki yake sasa wewe je unatafuta basha?huyu demu anatafuta bwana hana hoja kakimbilia matusi
Hivi mna JINSI ipi nyie?
naona u nadandia tren halafu hujui inaelekea nafikiri ww ndo unataka kukanyagwa mwenzakoo bwana kashapataDemu kutafuta bwana ni haki yake sasa wewe je unatafuta basha?
Mzee alisema nafsi inamsuta kukaa na jitu jeupe nywere
Kumbe unatafta madume wenzako humu jf hawapo kabisa hakuna mabasha
Demu kutafuta bwana ni haki yake sasa wewe je unatafuta basha?
mkuu ulivyoelezea ni kama vile hayo ni mafanikio makubwa sana, hii inapingana na hali halisi kabla ya kura maana tuliaminishwa nchi inaenda UKAWA, sasa kwa vyama vilivyodhaniwa kuchukua nchi na hiyo idadi ya wabunge waliopata ni tofauti sana, kwangu hilo ni anguko.
Anguko gani hilo kwa jinsi figisu figisu zilizokuwepo masanduku fake ya kura na uchakachuaji wa hali ya juu. Hapo utalaumuje tena wakati mfumo wa democracy kwa nchi za ki Africa unajulikana sio huru na haki. How about Zanzibar ingekua kwa nchi nyingine ningekubaliana na wewe sio kwa Tanzania tunapga kura kutimiza wajibu
Atakayemuamini Lipumba..f akapimwe akili.
Mzee alisema nafsi inamsuta kukaa na jitu jeupe nywere
hahahaaa,yani ametusaliti katkat ya safar sasa ndio anaona anarudi billion 3 alizopewa zimeisha binafsi napendekeza afutwe uanachama kabisa ameturidisha nyuma sana hakuna dhambi mbaya kama usaliti sitamsamehe lipumba na slaa hata siku moja.
Nyie hamwajui wanasiasa, wanapenda kuwa covered na media, kitendo cha kutokuwa mwenyekiti anaona picha zake hazipo kwenye magazeti, TV hawamfanyii interview anaona atapotea, kwa hiyo anafanya juhudi ili vyombo vya habari visimsahau
lipumba akipewa uongozi au akiruhusiwa kurudi CUF najiunga CCM Rasmi utakua ni kutufanya wajinga sie wananchi