Lipia Sh. 19,000 Dstv uone mechi ya UEFA

Lipia Sh. 19,000 Dstv uone mechi ya UEFA

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,034
Reaction score
900
Katika "KUZUGA" kuwa inawajali wateja wake kampuni ya MultiChoice inayomiliki king'amuzi cha Dstv inazidi (KUSHUKA CHINI) kwa kuwasogelea wanaolipia kifurushi cha Bomba waone mechi za Klabu Bingwa Ulaya.
 
Vigezo na Masharti Kuzingatiwa. Jiridhishe uone kama unazo sifa.... 0784 104700/ 0768 988800/ 022 2199600. Huduma ya wateja.
 
Sina uhakika kuwa kunarushwa mechi ya UEFA 203, ila kwenye kifurushi cha 19000/- (Bomba) ni kweli hiyo channel huwa inaonekana.... kwa siku 7 tangu ulipie sasa itokee kuna mechi ndani ya siku hizo.
Kama hivyo sawa.
Kwa hio wiki moja unazipata baada ya hapo unaangalia Katuni.
Basi sawa.
 
Meseji inayotumwa na multichoice kukumbusha Wateja kulipia inasema kulipia 16000/- upate package ya Bomba, kwenye menu ya kulipa kwa simu kuna 19000/-. Yahani bei inayo tangazwa ni tofauti na wanayo uzia.
 
Back
Top Bottom