chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,382
- 1,349
Inadhihilika mkulima ajasaidiwa na ununuzi huu wa korosho.
Ni kweli wakangomba wapo na ni wachache, mnawatafuta kwa gharama ya wakulima ndio wanaoteseka.
Na ukweli kangomba haiwezi kufa, kwa kuwa watu wanashida za kweli, na chake ndio mtu utatulia matatizo yake.
Sasa wakulima huku kwetu wanauza vyeti, wapate fedha ili wapeleke watoto shule, wanunulie pembejeo na kulipa vibarua. Wasipofanya hivyo, hawata kuwa hata na chakula kwa siku za baadae,
Mimi sielewi wenyedhamana na malipo wanafikiri nini?
Ni kweli wakangomba wapo na ni wachache, mnawatafuta kwa gharama ya wakulima ndio wanaoteseka.
Na ukweli kangomba haiwezi kufa, kwa kuwa watu wanashida za kweli, na chake ndio mtu utatulia matatizo yake.
Sasa wakulima huku kwetu wanauza vyeti, wapate fedha ili wapeleke watoto shule, wanunulie pembejeo na kulipa vibarua. Wasipofanya hivyo, hawata kuwa hata na chakula kwa siku za baadae,
Mimi sielewi wenyedhamana na malipo wanafikiri nini?