Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,815
Messi (34) amekubali kujiunga na PSG baada ya kuondoka katika Klabu ya FC Barcelona aliyoichezea kwa miaka 21
Inaelezwa atasaini mkataba wa miaka 2 wa thamani ya kulipwa Paundi Milioni 25 (baada ya kodi) kwa mwaka.
---
✍Lionel Messi amefikia makubaliano na PSG kujiunga nao akiwa mchezaji huru
✍PSG watatangaza muda wowote kuanzia sasa usajili wa Lionel Messi . Mkataba mpaka Juni 2023 na kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi
✍Messi atatambulishwa rasmi , Neymar amekuwa akisukuma sana uhamisho wa rafiki yake kutua PSG.
Pia soma
- Rasmi: Barcelona yatangaza Messi kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuongeza Mkataba