Lionel Messi aandika rekodi mpya ya dunia ya kufunga magoli mengi kwa mwaka

Get your r's and h's right first.

The name is Kiranga, the Manga of Ananga-Ranga.

Get it right or get a fight.
Nimeshafanya marekebisho na samahani sana kwa usumbufu uliyojitokeza,baada ya hapo naomba urejee kwenye hoja ya msingi.
 
Nimeshafanya marekebisho na samahani sana kwa usumbufu uliyojitokeza,baada ya hapo naomba urejee kwenye hoja ya msingi.

Hoja haina msingi kwa sababu huja define mchangani bado.

Wala hujajibu kama Zambia mchangani kwa nini timu za ligi kubwa Ulaya zinasajili waZambia.

Ndo nyie kitu hakiwi kizuri mpaka kitoke Ulaya.

Mswahili kafanya environmentally friendly recycling miaka nenda rudi, tumeweka maji kupata baridi kwenye friji kwa kutumia chupa za Whisky.

Tumetumia matairi yaliyochakaa kutengeneza katambuga.

Tumeonekana washamba.

Leo mzungu anatuletea habari za "recycling is good for the environment" tunaisifiaaaa!
 
Hoja haina msingi kwa sababu huja define mchangani bado.

Wala hujajibu kama Zambia mchangani kwa nini timu za ligi kubwa Ulaya zinasajili waZambia.

Ndo nyie kitu hakiwi kizuri mpaka kitoke Ulaya.

Mswahili kafanya environmentally friendly recycling miaka nenda rudi, tumeweka maji kupata baridi kwenye friji kwa kutumia chupa za Whisky.

Tumetumia matairi yaliyochakaa kutengeneza katambuga.

Tumeonekana washamba.

Leo mzungu anatuletea habari za "recycling is good for the environment" tunaisifiaaaa!
Mkuu katika ulimwengu wa mpira Afrika siyo kisiwa,imekuwa ikishindanishwa na sehemu ningine mbalimbali za dunia kupitia kombe la dunia na mashindano mengine,sote tu mashahidi Afrika imekuwa inafanya vibaya mpaka leo hii,kubwa zaidi Dunia imeweka utaratibu wa kutasimini viwango vya mpira vya nchi na timu mbalimbali,katika viwango hivyo bado Afrika ipo nyuma.Hivyo huu ni ushahidi tosha kuwa viwango vya mpira wa Afrika vipo chini sana.Ndiyo maana nilitumia neno mpira wa mchangani nilimaanisha mpira wetu wa Afrika upo chini ukilinganisha na wenzetu wa Ulaya na Amerika ya Kusini.
 
Mkuu katika ulimwengu wa mpira Afrika siyo kisiwa,imekuwa ikishindanishwa na sehemu ningine mbalimbali za dunia kupitia kombe la dunia na mashindano mengine,sote tu mashahidi Afrika imekuwa inafanya vibaya mpaka leo hii,kubwa zaidi Dunia imeweka utaratibu wa kutasimini viwango vya mpira vya nchi na timu mbalimbali,katika viwango hivyo bado Afrika ipo nyuma.Hivyo huu ni ushahidi tosha kuwa viwango vya mpira wa Afrika vipo chini sana.Ndiyo maana nilitumia neno mpira wa mchangani nilimaanisha mpira wetu wa Afrika upo chini ukilinganisha na wenzetu wa Ulaya na Amerika ya Kusini.

Hujajibu swali, kama Afrika mpira mbaya hivyo, kwa nini timu za Ulaya bwerere zinasajili wachezaji wa Afrika?
 
Hujajibu swali, kama Afrika mpira mbaya hivyo, kwa nini timu za Ulaya bwerere zinasajili wachezaji wa Afrika?
Mkuu nitake radhi sijasema mpira mbaya nimesema kiwango cha mpira wa Afrika kipo chini.
 
Mkuu nitake radhi sijasema mpira mbaya nimesema kiwango cha mpira wa Afrika kipo chini.

Same thing if you ask me.

Sasa kama kiwango cha mpira Afrika kiko chini kwa nini ligi kubwa za Ulaya zina recruit wachezaji kutoka Afrika?
 
Same thing if you ask me.

Sasa kama kiwango cha mpira Afrika kiko chini kwa nini ligi kubwa za Ulaya zina recruit wachezaji kutoka Afrika?

Mchezaji mmoja mmoja ni tofauti na timu.

Hivyo, wachezaji wamoja wamoja wapo ambao ni wazuri na kiwango chao hupanda wakienda huko Ulaya na kwingineko ambako kuna wherewithal za kutosha kuweza kupandisha kipaji cha mtu. Afrika hatuna wherewithal kama Ulaya.

Ndiyo maana unakuta timu za Afrika ikija kwenye mashindano makubwa ya kimataifa huwa hazifanyi vizuri kama timu za huko kwingine.
 
Same thing if you ask me.

Sasa kama kiwango cha mpira Afrika kiko chini kwa nini ligi kubwa za Ulaya zina recruit wachezaji kutoka Afrika?
Magoli 106 ya mchezaji wa Afrika yalifungwa ligi ya Zambia,magoli 85 ya Gerd Muller yalifungwa Ligi ya ulaya na mashindano mbalimbal ya Dunia,Magoli 72 ya Pele yalifungwa katika ligi ya Brazil na mashindano mbalimbali ya Dunia.Hapo mkuu kuna utofauti mkuu.Kiwango cha mchezaji mmoja mmoja wa Afrika wanaocheza nchi za ulaya siwezi kukipuuza,nakubaliana na wewe wanaviwango vya juu na ndiyo maana wanakubalika kucheza ligi zenye ushindani mkubwa.Kwa mfano ingetokea mchezaji wa Afrika kama Samweli Etoo angefunga magoli aliyefunga messi unadhani asingehesabiwa kama mchezaji aliyevunja rekodi ya dunia?Jibu ni kwamba ingekubalika kuwa amevunja rekodi ya Dunia bila hiana,na hii ni kwa sababu anacheza ligi yenye ushinda mkubwa!!
 
Mchezaji mmoja mmoja ni tofauti na timu.

Hivyo, wachezaji wamoja wamoja wapo ambao ni wazuri na kiwango chao hupanda wakienda huko Ulaya na kwingineko ambako kuna wherewithal za kutosha kuweza kupandisha kipaji cha mtu. Afrika hatuna wherewithal kama Ulaya.

Ndiyo maana unakuta timu za Afrika ikija kwenye mashindano makubwa ya kimataifa huwa hazifanyi vizuri kama timu za huko kwingine.

For someone who claims to understand that the collective is made up of individuals, that approach is very collectivist.

Halafu kama mchezaji mmoja mmoja ni tofauti na timu, then inawezekana kwa Chitalu kuwa a world caliber player ambaye kaweka rekodi kwa sababu ya uwezo wake mkubwa, na sio kwa sababu alikuwa anacheza mchangani.

Afrika inaangushwa na uongozi, umasikini, lishe bora etc.

Nilikuwa napiga misele bongo over the summer, mara moja natoka upcountry nimetua JKNIA, nikaona vimtu vimechooka, timu ya mpira, wanashuka wametoka wapi sijui. Basi nikajiuliza hawa watoto wa shule gani? au ndo michezo ile ya timu za shule UMISETA etc siku hizi shule zinasafirisha wanafunzi kwa ndege tumeendelea?

Naambiwa ndio Simba Sports Club hao.Watu wanaonekana kabisa lishe ndogo. Nikaelewa kwa nini tunafungwa.

Msilundike matatizo ya umasikini na uwezo wa kucheza mpira.Kama ligi zote ni za kitaifa na zinatambuliwa na FIFA hiyo inatosha kuzifanya ziwe sawa. Hakuna milinganyo ya kusema goli moja la Ulaya ni sawa na matatu ya Afrika.
 
Magoli 106 ya mchezaji wa Afrika yalifungwa ligi ya Zambia,magoli 85 ya Gerd Muller yalifungwa Ligi ya ulaya na mashindano mbalimbal ya Dunia,Magoli 72 ya Pele yalifungwa katika ligi ya Brazil na mashindano mbalimbali ya Dunia.Hapo mkuu kuna utofauti mkuu.Kiwango cha mchezaji mmoja mmoja wa Afrika wanaocheza nchi za ulaya siwezi kukipuuza,nakubaliana na wewe wanaviwango vya juu na ndiyo maana wanakubalika kucheza ligi zenye ushindani mkubwa.Kwa mfano ingetokea mchezaji wa Afrika kama Samweli Etoo angefunga magoli aliyefunga messi unadhani asingehesabiwa kama mchezaji aliyevunja rekodi ya dunia?Jibu ni kwamba ingekubalika kuwa amevunja rekodi ya Dunia bila hiana,na hii ni kwa sababu anacheza ligi yenye ushinda mkubwa!!

Kwa hiyo kimsingi unakubali kwamba inawezekana Godfrey Chitalu kama mchezaji alikuwa na kiwango cha kimataifa na ameweka rekodi hiyo kutokana na kiwango chake cha kimataifa then.
 
Kwa hiyo kimsingi unakubali kwamba inawezekana Godfrey Chitalu kama mchezaji alikuwa na kiwango cha kimataifa na ameweka rekodi hiyo kutokana na kiwango chake cha kimataifa then.
Hakuwa na kiwango cha kimataifa kwa kuwa magoli yake aliyafunga katika ligi dhaifu ya Zambia.Na kama angeyafunga akiwa Amerika ya kusini au Ulaya basi angekuwa ameweka rekodi mpya ya Dunia!
 
For someone who claims to understand that the collective is made up of individuals, that approach is very collectivist.

Soccer is a team sport. Not an individual sport. So, even the so called individual sports like boxing have 'teams' too. You have the trainers, strength and conditioning coaches, sparring partners, etc.

Halafu kama mchezaji mmoja mmoja ni tofauti na timu, then inawezekana kwa Chitalu kuwa a world caliber player ambaye kaweka rekodi kwa sababu ya uwezo wake mkubwa, na sio kwa sababu alikuwa anacheza mchangani.

Kama ni kuwezekana tu basi yote mawili (uwezo na/ au kucheza mchangani) yanaweza kuwezekana. Inawezekana Chitalu kaweza kufanya hivyo kwa sababu ya uwezo wake mkubwa ama inawezekana kaweza kufanya hivyo kwa sababu kacheza mchangani.

Afrika inaangushwa na uongozi, umasikini, lishe bora etc.

Wherewithal.

Nilikuwa napiga misele bongo over the summer, mara moja natoka upcountry nimetua JKNIA, nikaona vimtu vimechooka, timu ya mpira, wanashuka wametoka wapi sijui. Basi nikajiuliza hawa watoto wa shule gani? au ndo michezo ile ya timu za shule UMISETA etc siku hizi shule zinasafirisha wanafunzi kwa ndege tumeendelea?

Hakuna facilities. Timu hazina gyms. Ukiwaambia wapige squats wa strengthen miguu yao wanakwambia hawataki kuwa mabaunsa. Hata wataalamu hakuna. Bongo kuna sports medicine expert yeyote yule? Kuna college yoyote ile ambayo imejikita zaidi katika hayo mambo ya sports medicine? Kwa hiyo hata awareness tu ya physical fitness in general ipo chini sana. Sasa kwa mtaji huo usitegemee mafanikio makubwa ya michezo katika medani za kimataifa.

Msilundike matatizo ya umasikini na uwezo wa kucheza mpira.Kama ligi zote ni za kitaifa na zinatambuliwa na FIFA hiyo inatosha kuzifanya ziwe sawa. Hakuna milinganyo ya kusema goli moja la Ulaya ni sawa na matatu ya Afrika.

Umaskini unafanya kiwango nacho kishuke. Na ligi kutambuliwa na FIFA hiyo haimaanishi kwamba viwango vya nchi za ulimwengu wa tatu ni sawa na vya huko Ulaya. Kutambuliwa na FIFA hakuna uhusiano na kiwango cha mchezo. Hiyo ya goli moja la Ulaya kuwa sawa na magoli matatu ya Afrika ni upuuzi tu kwani goli ni goli tu.
 
Soccer is a team sport. Not an individual sport. So, even the so called individual sports like boxing have 'teams' too. You have the trainers, strength and conditioning coaches, sparring partners, etc.



Kama ni kuwezekana tu basi yote mawili (uwezo na/ au kucheza mchangani) yanaweza kuwezekana. Inawezekana Chitalu kawezan hivyo kwa sababu ya uwezo wake mkubwa ama inawezekana kaweza hivyo kwa sababu kacheza mchangani.



Wherewithal.



Hakuna facilities. Timu hazina gyms. Ukiwaambia wapige squats wa strengthen miguu yao wanakwambia hawataki kuwa mabaunsa. Hata wataalamu hakuna. Bongo kuna sports medicine expert yeyote yule? Kuna college yoyote ile ambayo imejikita zaidi katika hayo mambo ya sports medicine? Kwa hiyo hata awareness tu ya physical fitness in general ipo chini sana. Sasa kwa mtaji huo usitegemee mafanikio makubwa ya michezo katika medani za kimataifa.



Umaskini unafanya kiwango nacho kishuke. Na ligi kutambuliwa na FIFA hiyo haimaanishi kwamba viwango vya nchi za ulimwengu wa tatu ni sawa na vya huko Ulaya. Kutambuliwa na FIFA hakuna uhusiano na kiwango cha mchezo. Hiyo ya goli moja la Ulaya kuwa sawa na magoli matatu ya Afrika ni upuuzi tu kwani goli ni goli tu.

Bottom line goli ni goli tu kama ulivyosema, kwa hiyo kama huyu binghwa alifunga magoli hayo naye ana rekodi yake ya magoli hayo na yuko juu vile vile.
 
Bottom line goli ni goli tu kama ulivyosema, kwa hiyo kama huyu binghwa alifunga magoli hayo naye ana rekodi yake ya magoli hayo na yuko juu vile vile.

Yeah..kama kweli aliyatundika hayo magoli katika mechi za ushindani kwa nini asiwe juu?

I see no reason why!
 
Mie sina uhakika kwamba katika Waafrica wote hakuna mzee kuliko huyo aliye kwenye Guinness Book of records.

Au hakuna anayeweza kwenda kasi kuliko Usain Bolt.

Kuna mtoto wa mitaani kavumbuliwa Uganda, hata kusoma hajui, lakini anapiga chess kama prodigy. Sasa wangapi hawajavumbuliwa bado? Kila siku tunasikia Kasparov, Karpov, Bobby Fisher etc

From slum life to Disney film: Ugandan teen chess star 'the ultimate underdog'


From slum life to Disney film: Ugandan teen chess star 'the ultimate underdog' - CNN.com
humu duniani hamna mtu mnafki mwizi mbinafsi na mchoyo kama mzungu lakini waliotawaliwa akili mpaka leo wakikusikia unasema haya watatamani hata wakuroge.
 
Haya 88 hiyo Messi jana kafunga mawili ktk copa de la rey kombe la mfalme vs cordoba kule jijini seville,0-2 cordoba kafungwa na barca zote Messi
 
story inanifanya nitafakari yule striker mkali sana niliyemkuta tunduru kwaka 1992 maana alifunga mabao karibia mia kwenye mechi chache sana

kuna mechi alikua anapiga hadi bao sita peke yake

TUNAMPENDELEA TU MESSI, WAPO KIBAO HUKU KWETU
:becky:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom