Lionel Messi aandika rekodi mpya ya dunia ya kufunga magoli mengi kwa mwaka

Mie sina uhakika kwamba katika Waafrica wote hakuna mzee kuliko huyo aliye kwenye Guinness Book of records.

Au hakuna asiyeweza kwenda kasi kuliko Usain Bolt.

Kuna mtoto wa mitaani kavumbuliwa Uganda, hata kusoma hajui, lakini anapiga chess kama prodigy. Sasa wangapi hawajavumbuliwa bado? Kila siku tunasikia Kasparov, Karpov, Bobby Fisher etc

From slum life to Disney film: Ugandan teen chess star 'the ultimate underdog'


From slum life to Disney film: Ugandan teen chess star 'the ultimate underdog' - CNN.com

Mkuu hata mimi nilishangaa eti bibi wa miaka 116 ndiyo anaongoza wakati bibi yangu mzaa mama yangu yupo hai na ana miaka 120 plus!! Yuko strong na anaweza kuongea vizuri tu tena kiswahili. Na kusoma aliacha miaka ya karibuni tu. Hata dakika hii nikimpigia simu anapewa na anaongea na mimi na watoto, vitukuu anaulizia, etc. Yaani huwa nashangaa dunia kwa ujumla na ma utafiti yao uchwara.
 
Mkuu hata mimi nilishangaa eti bibi wa miaka 116 ndiyo anaongoza wakati bibi yangu mzaa mama yangu yupo hai na ana miaka 120 plus!! Yuko strong na anaweza kuongea vizuri tu tena kiswahili. Na kusoma aliacha miaka ya karibuni tu. Hata dakika hii nikimpigia simu anapewa na anaongea na mimi na watoto, vitukuu anaulizia, etc. Yaani huwa nashangaa dunia kwa ujumla na ma utafiti yao uchwara.

Tatizo Africa hata kama kuna bibi ana miaka 120, kuprove kazi kwa sababu kupata birth certificate au document za kuthibitisha hivyo ni kazi.

Hata huyo Mzambia wanaweza kudaiwa watoe video footage ya magoli yote hapo ikawa kwishney.
 
Huyu naye kakazaaaana na huyo mmatumbi wake. Messi anacheza TOP FLIGHT na sio mchangani.

Unaposikia Arsenal imeweka rekodi ya kumaliza ligi bila kufungwa usije na wewe ukaropoka ''na Simba..''

Soka lina namna yake ya kulikalikuleti bwana, sio unakurupuka tu na rekodi zako za Mbeya. Kuna mtu kule Scotland akiitwa Hendrick Larson alifunga mabao 51 ndani ya msimu mmoja lakini ndani ya msimu huo ni Thierry Henry ndio alitangazwa kuwa Europe's top scorer kwa mabao 28. Kinachofanyika ni kwamba, magoli ya Scotland unagawanya kwa 2 kupata uwiano wa England, Germany, Spain au Italy

Unachoongea ni kweli. Leo hii mchezaji wa ligi ya safari lager akifunga hata magoli 500 kwa msimu huwezifananisha na record ya Messi. Unaangalia vigezo vingi kama ugumu wa ligi etc.
Huyo Chitalu aendezake mchangani kwenye kombe la Kinesi ama kombe la mbuzi
 
Messi's new record ‘was broken in 1972′
By Eurosport | World of Sport – 1 hour 7 minutes ago

moz-screenshot-5.jpg


Lionel Messi and Godfrey Chitalu
Lionel Messi has been showered with praise after establishing a new world record by scoring 86 goals in a calendar year.
Regardless of what you might think of calendar year as opposed to season-by-season records - our blogger Early Doors certainly did not approve - you can't help doffing your cap to the diminutive Argentine for his 86 goals in 2012. At the age of just 25 he is already a legend of the game, and even Gerd Mueller - the man whose record he took - has paid homage to him.
Yet it seems that Messi's latest entry in the footballing record books might be have to be scrubbed out: the Zambian FA have claimed that one of their own legendary strikers put the Barca star's tally in the shade way back in 1972.
Godfrey 'Ucar' Chitalu scored an astonishing 107 goals for Kitwe United that year, the same year that Mueller hit the previous mark of 85. Yet while Muller was feted for his brilliance, Chitalu was not recognised outside his homeland and it was the German's record that has stood for the last 40 years.
After a glittering career on the pitch, Chitalu was awarded a FIFA special award, and went on to become Zambia coach until he was tragically killed in the 1993 plane crash that wiped out an entire generation of the national team's finest footballers.
The Zambian FA are now trying to bring Chitalu the recognition he deserves for his achievement by trawling their archives for evidence of the 107-goal haul.
"We have this record, which has been recorded in Zambian football, but unfortunately it has not been recorded in world football," a spokesman told the Soccer Laduma website.
"Even as the world has been looking at Lionel Messi's record, breaking Gerd Mueller's, the debate and discussion back here has been why Godfrey's goals are not being recognised.
"What we are doing is, we have commissioned an independent team locally to go back into the archives and record minute by minute each of those goals.
"The team that we have put together is going to calculate all of those goals, recording which ever game or tournament they were scored in, we will then send that to CAF and FIFA so that we can show that, while Messi's record is there, while Mueller's record is there, the actual record holder in terms of goals per calendar year is actually an African, it's actually Godfrey Chitalu."
The Zambian FA have also reportedly contacted FIFA who said they had heard of Chitalu's claim and are "checking on it internally".

Mwisho mtasema Kikwete ni rais bora kuliko Obama kwa kuwa toka aingie madarakani ameshasafiri nje ya nchi zaidi ya mara 300 kumpita Obama ambae ameshasafiri chini ya safari 50 nje ya nchi.
 
Huyu naye kakazaaaana na huyo mmatumbi wake. Messi anacheza TOP FLIGHT na sio mchangani.

Unaposikia Arsenal imeweka rekodi ya kumaliza ligi bila kufungwa usije na wewe ukaropoka ''na Simba..''

Soka lina namna yake ya kulikalikuleti bwana, sio unakurupuka tu na rekodi zako za Mbeya. Kuna mtu kule Scotland akiitwa Hendrick Larson alifunga mabao 51 ndani ya msimu mmoja lakini ndani ya msimu huo ni Thierry Henry ndio alitangazwa kuwa Europe's top scorer kwa mabao 28. Kinachofanyika ni kwamba, magoli ya Scotland unagawanya kwa 2 kupata uwiano wa England, Germany, Spain au Italy

Kweli mkuu nilitaka kuja na hiyo issue tatizo nikakosa evidence ya mchezaji aliefunga magoli mengi mwisho wa siku akashinda yule mwenye magoli machache toka nchi zenye ligi ngumu
 
Tatizo Africa hata kama kuna bibi ana miaka 120, kuprove kazi kwa sababu kupata birth certificate au document za kuthibitisha hivyo ni kazi.

Hata huyo Mzambia wanaweza kudaiwa watoe video footage ya magoli yote hapo ikawa kwishney.

Bibi zetu wenyewe ili kujua miaka yao lazima wataje matukio muhimu ndio ukadirie, mfano unamuuliza vita vya kwanza ulikuwa una umri gani au unakumbuka nini, akisema alikuwa ndio kwanza ana mtoto unakadiria kwa miaka ile alikuwa na 16 years then una add
 
There is just a continuation slavery and or neon-colonialism to wit; no superior or good thing can come
out from you ruled(mainly Africans) class. Thus why even our own mountains, lakes, minerals, and medicines
they are the ones who invented them...Oooh poor mother Africa wake up!! open your eyes and ears...emancipate
yourself from this slavery, colonialism, discrimination, etc.
 
Nilijua tu atapatikana mshabiki wa Man Utd aje kuleta ngonjera na kukosoa. Mbona husemi basi overall Messi ana mataji mangapi na Mueller ana mangapi?

Kwa taarifa yako, huyu Messi ni mwaka huu ndio amepata nafasi ya kuichezea Argentina kama forward lakini huko mwanzo (hata kwenye World Cup) alikuwa akicheza kama namba 8 ilhali Gerd Mueller ni namba 9.


Umepiga mbizi kwenye kokoto Kaka...
Mimi ni shabiki nguli wa AC Milan, Yanga na Abajalo ambayo naitumikia mpaka sasa nikiwa kama kiungo mkabaji ninaefananishwa na Demetrio Albetini ambaye kwa historia yake mechi ilikuwa ikichezwa usiku basi lazima awe Man of the Match.

Twende kazi
 
Mtu mmoja kwenye biblia alidai kuwa amemwona Masihi wa Nazareti, watu walimcheka na kumwuliza kwamba kitu chema chaweza kutoka Nazareti? Swali la msingi hapa ni mfungaji wa magoli mengi anaweza kutoka Afrika? Juzi Ngassa kapiga goli 5 Wasomali nani ametangaza kuwa hiyo ni rekodi ya CECAFA? Jinsi gani ilivyotangazwa kwa jamaa aliyepiga goli 5 huko Uhispania? Zambia wakae kimya, ligi yao haina kiwango cha kuweka rekodi ya dunia.
 
There is just a continuation slavery and or neon-colonialism to wit; no superior or good thing can come
out from you ruled(mainly Africans) class. Thus why even our own mountains, lakes, minerals, and medicines
they are the ones who invented them...Oooh poor mother Africa wake up!! open your eyes and ears...emancipate
yourself from this slavery, colonialism, discrimination, etc.
Mkuu tuwe wakweli tu, fa ya Zambia yenyewe haina uhakika, inalazimika kuunda kamati ili kuweka rekodi sawa... ulaji!!! Kama tuko wazembe kuweka sawa rekodi kiasi hicho bado tuwalaumu wazungu?! Hizo habari za Chitala hata CAF hawana! FIFA itazijuaje? Hlf Messi ni mzungu kweli yule?! Labda mzungumaasai.
 
story inanifanya nitafakari yule striker mkali sana niliyemkuta tunduru kwaka 1992 maana alifunga mabao karibia mia kwenye mechi chache sana

kuna mechi alikua anapiga hadi bao sita peke yake

TUNAMPENDELEA TU MESSI, WAPO KIBAO HUKU KWETU
 
Mimi mwenyewe enzi zangu nilipiga magoli mengi kuliko Chitalu, tatizo ni kwamba nilipigia kwenye uwanja wa Kinondoni Muslim pale Kinondoni Shamba. Hakuna off-side na refa anakimbizwa na mwamvuli saa yeyote, na mimi pia niombe kushindanishwa na Messi?
 
Mkuu kilanga tutabishana bila sababu,ukweli ni kwamba uwezi kulinganisha mpira wa ulaya na ule wa Afrika,na hasa kwa miaka ya 1972!!

Get your r's and h's right first.

The name is Kiranga, the Manga of Ananga-Ranga.

Get it right or get a fight.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom