Elijah
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,663
- 416
dah,i see haka katoto ni hatari,nasikia kamezaliwa shinyanga eti
Kuna kitu Messi kafanya muda mfupi uliopita ambacho si kawadia kabisa...karibia afunge goli katika mazingira ambayo hakuna mtu anaweza kutegemea jambo kama hilo...Alikiuwa katikati ya defenders akama 3 na bado kaweza kumiliki mpira na kupiga shuti golini...
Ni bahati mbaya kwamba mpira umegonga mwamba!!