Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Attachments

  • Workspace 1_008.png
    Workspace 1_008.png
    61.1 KB · Views: 91
Msaada, nashindwa kupata huduma ya Golive kama huduma katika TCL smart Tv asee, sijui shida ni nini, inaniambia kuwa Unavailable network wakati mtandao upo
87dd6db782563982e69f975ef5859364.jpg
msaada plz
 
Msaada, nashindwa kupata huduma ya Golive kama huduma katika TCL smart Tv asee, sijui shida ni nini, inaniambia kuwa Unavailable network wakati mtandao upo
87dd6db782563982e69f975ef5859364.jpg
msaada plz
Inatumia linux ama android au os nyingine?.
 
Nataka ku upgrade from ubuntu 14.04 to ubuntu 16.04 nitafanye maana nishajaribu mara nyingi kugoogle napata solution ambazo tatizo haziishi wakati huo huo sitaki kuformart maana data zangu nyingi sina external ya kutosha kufanya back up
 
wakuu naomba kujulishwa ni vipi naweza kujua kama system yangu ni amd64 au i386 ???
 
JE WAJUA UNAWEZA KUWA UNAWEZA KUUNDA OS YAKO YA LINUX KWA KUTUMIA BROWSER
Opensuse project kwa kutumia web yao inawapa uwezo watu kutengeza operating system hata kama huna ujuzi wa kufanya coding. suse studio inakuwezesha kuweka logo yako, brand yako unayoitaka kwa maana utaipa OS jina ambalo wewe unataka. Japokuwa uundaji wa OS wa namna hii hauwezi ukakupa kila kitu utakachokihitaji ili OS iwe tofauti hivyo programming hasa C programming ni kitu cha lazima kama unataka kutengeneza OS. ili kutengeneza unaweza tembelea tovuti ifuatayo
Welcome – SUSE Studio
 
Jamani mimi naomba msaada wa kuinstall kali linux maana ninapoanza kuboot inakuja massage remove disk or other media press any key to restart
 
Jamani mimi naomba msaada wa kuinstall kali linux maana ninapoanza kuboot inakuja massage remove disk or other media press any key to restart
Hebu fafanua vizuri unapoboot ukitaka kuweka hiyo Kali ? Au kompyuta ndio inaandika hivyo.
 
Wakati nishachomeka flash yangu nimeshaboot flash ndio computer inaleta maelezo hayo
 
Back
Top Bottom