thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,864
- 4,847
Inasemekana jamaa usiku alikuwa amelewa akaendesha gari kwa spidi, alianza kama utani kuandika ujumbe Twitter kwamba usiku atajiua.Kwani alifanya nini hadi kufungwa?
Inasemekana jamaa usiku alikuwa amelewa akaendesha gari kwa spidi, alianza kama utani kuandika ujumbe Twitter kwamba usiku atajiua.Kwani alifanya nini hadi kufungwa?
Kazi kweli kweli inawezekana aliuawa pia.Inasemekana jamaa usiku alikuwa amelewa akaendesha gari kwa spidi, alianza kama utani kuandika ujumbe Twitter kwamba usiku atajiua.
Alijiua akiwa kwake, na ni mida hiyo ndio aliandika ujumbe twitter.Kazi kweli kweli inawezekana aliuawa pia.
wget -q -O - http://archive.getdeb.net/getdeb-archive.key | sudo apt-key add -
sudo sh -c 'echo "deb http://archive.getdeb.net/ubuntu trusty-getdeb games" >> /etc/apt/sources.list.d/getdeb.list'
sudo apt-get update
sudo apt-get install urbanterror
sudo add-apt-repository ppa:noobslab/apps
sudo apt-get update
sudo apt-get install xdman
Hii steam ilikuwa inanisumbua kwenye terminal, uliinstall vp?Kwenye download manager zipo nyingine kama uget, flareget. Incase ya games waweza pia install steam na utapata games kibao.
mi pia naitumia......but nikiwa nabrowse phone ....storage ambayo ni visible ni internal storage ya sim Ila SD card haionyeshi files zake.....tatizo nn?Kuna app kama kde connect mimi huwa natumia kulink android phone yangu na Ubuntu using wifi. Hii huwa naipenda sababu
1. Naweza share copy clipboard between PC na Android phone yangu. i.e. kwamba nikikopy kitu kwenye kwenye android naweza paste straight kwenye pc
2. Naweza tumia phone yangu kama remote control ya Ubuntu. E.g kuchange tracks
3. Napata notification za simu kwenye Ubuntu.
4. Naweza transfer file from PC to phone wirelessly.
Just Google kde connect PPA on how to install
download kwa kutumia torrent......Leo nilikuwa na download image ya Kali Linux karibia Mara 5 hawa washenzi tanesco wamekata umeme mpaka wamenikata maini halafu ukizingatia image zenyewe mpaka imalize kudownload huchukua muda ,kila nikidownload ikifika kati wanakata umeme halafu nilikuwa na mzuka Leo na Kali linux
Hawa Tanesco wamenikatisha tamaa Leo
Kali Linux![]()
![]()
popcorn time ndio mpango asee iko poaKWA WAPENZI WA ONLINE STREAMINGZipo software kama kodi na vlc ambazo unaweza ukaziweka kwenye linux yako na kuangalia TV kupitia internet yako bila bughudha.
jinsi ya kuinstall kodi kwenye ubuntu ama linux mint fanya yafuatayo![]()
1. Kwanza fungua Terminal kwa kubonyeza ctrl+alt+T
2. andika codes zifuatazo, kwa ajili ya kuongeza repository
Code:sudo add-apt-repository ppa:team-xbmc/ppa
3. kuweka kodi andika codes zifuatazo
Code:sudo apt-get update sudo apt-get install kodi
4. pia andika line zifuatazo kwa ajili ya encoder
Code:sudo apt-get install kodi-audioencoder-* kodi-pvr-*
ulijaribu kutafuta solution mtandaoni ama kwa watengeza wa hizo printa, na printa za aina gani ambazo ziligoma?Nilishindwa kuinstal printa zangu ikabid niitoe baada ya siku mbili tu
Hiyo ni mwepesi sana anaondoka, ngoja nifunue library yangu nikupe maelekezo. Ila hakikisha una Linux yoyote.Dah! Niliwah kutumia Ubuntu nikaipenda sana mpaka leo.
Najuta nimeweka Window 8.1 kwenye Pc yangu kisha nika Instal Kaspersky Internet Security niliyonunua.
Then hivi Majuz kuna virus anaitwa RECYLEBIN ( System volume Control) ameingia kwenye Pc yangu wakati nafanya Recovery hivyo nikaconect External had disk ndipo alipoingia.
Dah! Aisee ananisumbua kinyama Data zangu zote GB 400 Kwenye External Had disk zote zimepotea ukifungua hamna kitu.
But ukicheki properties inaonyesha zishatumika GB 400.
SIJA IFORMAT bado kwakuhofia kuzipoteza kabisa...
Plz naomba Elimu mwenye ujanja hapo nifanyeje maana ndipo nilipoanza kukumbuka Ubuntu.
Nataka nimwondoe huyu mdudu but sijajua Application gani naweza kuitumia kumwondoa kwenye Pc na External...