Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhmm.. Jamaa anaitwa nani hata mimi yaliwahi kunisibu kama hayo.nikisema niweke maelezo yote hapa nitajaza kurasa na ww utaboreka kusoma. ila kifupi ni kwamba jamaa nilimaliza nae olevel miaka 7 nyuma. tukawa hatuna mawasiliano ila siku ya tukio nikapokea simu kuuliza ni yy akadai namba yangu amepata facebook then akaja kwangu mchana wake tukala chakula cha mchana pamoja nyumbani kwangu kuna mda around saa kumi hv nkaenda uani kurudi nikakuta mgeni hayupo wife alikuwa amejipumzisha chumbani hakujua nn kinaendelea sebuleni kuja kutahamaki simu yangu haipo na wallet ilikuwa kwa kocha nililokaa nikakuta dollar 300 za office hakuna. so kaiba dollar300 na simu aina ya blu energy 2 thamani ya laki 4....
nikatoa taarifa polisi kasheshe ikawa kwenye ufatiliaji longo longo kibao.. polisi wanatak kiasi cha laki 3 ili wafanye kazi nikaikosa hyo hela.. nikashauri niende tcra wao nao hawatoi huduma hyo nikaamua niachane nayo...
ubaya jamaa ananipigia simu nimtumie hela ili anielekeze wap nitakapoifata.... ndo mana nahitaji kupata app ya location tracker ili niweze ifanya hyo kaz mwenyewe uzuri rb ninayo
jamaa anaitwa hassan zungu anakaa kaa sana pande za mbagala kipatiHhmm.. Jamaa anaitwa nani hata mimi yaliwahi kunisibu kama hayo.
jamaa anatumia tigo namba hii 0656 624 727Mwizi anatumia mtandao gani??
mdau cjakusoma hyo app inafanyaje kaz naomba unifafanulie vizuriDownload from play store a program called device manager then kla kitu kitaenda, sawa au tuma google acc yako chap tukwamvie ikowal nanani anayo