Wakuu kwa wale waliokosa kaujanja ka kukwepa foleni za Dar, Just fungua web hii www.foleni.com then utaselect maeneo mbalimbali na kujionea jinsi foleni husika na real movements kwenye roads, the link now updated with many locations in Dar
Nampa pongezi kwa aliyefanya hivi..ila ilikuwa inatakiwa kuona real video jinsi gari zinavyokwenda na siyo kususbiri picha..nadhani pia hakuna camera za barabarani hilo pia linachangia..
hii ni trick tu hakuna ukweli wowote hapo, bongo gps yenyewe utata sembuse uniambie hizi picha ambazo sijui zimetengenezewa java scripts au jsp. Huu ni uongozi mi sidanganyiki hata kidogo
Wakuu kwa wale waliokosa kaujanja ka kukwepa foleni za Dar, Just fungua web hii www.foleni.com then utaselect maeneo mbalimbali na kujionea jinsi foleni husika na real movements kwenye roads, the link now updated with many locations in Dar