Ndugu zangu msione katika thread zangu natabasamu na kucheka lakini behind the pillow ni muhanga wa ajira. Iliani ya CCM ilisema miaka mitano iliyomalizika imetoa ajira 5m lakini hizi ajira nimekuwa nikipishana nazo yaani sijui zilikuwa zinapita njia ipi na mimi nilikuwa na pita njia ipi.
Sasa mwaka wa kwanza wa kiuongozi wa awamu ya sita imeanza; hivi hizi ajira 8m zimeanza kutoka ama bado na kama bado zitatoka lini. Nikae njia gani ili nizikamate kisawasawa japo moja tu hata itakuwa ya muda mfupi ilimradi niondoe japo nuksi ya kutoajiriwa katika maisha yangu.
Nahisi kukata tamaa ya kimaisha japo naonekana nipo ngangari ila nimesurrender huu mziki wa kukosa ajira uwe unausikia tu kwa jamaa zako.
Nimeoa mke na ninamtoto mmoja ila aaah wacha we huu mziki wa kukosa kipato cha uhakika kinanitesa.
Inafikia hatua nahisi kukosa ajira ni ulemavu wa kiakili ila sijaacha kupambana siunajua uwe na mke halafu maisha yaende hovyo mbona mapenzi nayo yanakuwa zigo lisilo simulika.
Ndugu zangu nipeni maujanja mlitumia njia gani kupata ajira ya kudumu.
Chonde chonde wandugu hizi ajira 8m zikianza kutoka mnisaidie kuzipata.
Sasa mwaka wa kwanza wa kiuongozi wa awamu ya sita imeanza; hivi hizi ajira 8m zimeanza kutoka ama bado na kama bado zitatoka lini. Nikae njia gani ili nizikamate kisawasawa japo moja tu hata itakuwa ya muda mfupi ilimradi niondoe japo nuksi ya kutoajiriwa katika maisha yangu.
Nahisi kukata tamaa ya kimaisha japo naonekana nipo ngangari ila nimesurrender huu mziki wa kukosa ajira uwe unausikia tu kwa jamaa zako.
Nimeoa mke na ninamtoto mmoja ila aaah wacha we huu mziki wa kukosa kipato cha uhakika kinanitesa.
Inafikia hatua nahisi kukosa ajira ni ulemavu wa kiakili ila sijaacha kupambana siunajua uwe na mke halafu maisha yaende hovyo mbona mapenzi nayo yanakuwa zigo lisilo simulika.
Ndugu zangu nipeni maujanja mlitumia njia gani kupata ajira ya kudumu.
Chonde chonde wandugu hizi ajira 8m zikianza kutoka mnisaidie kuzipata.