Iran anayewapa Hamas na Hizbollah makombora na silaha nyingine ili kuhakikisha mgogoro baina ya Israel na Palestine hauishi, kwa nini asilibebe jukumu la kuwatunza Wapalestina baada ya kuwasababishia madhira yanayoendelea?
UN walistshili kuibana Iran na kuilazimisha kulipa fidia kwa maafa yote yaliyotokea huko Palestine na Israel.