Wadau
mwenye kujua timu ya Olimpiki inarudi TZ anifahamishe nataka nikapige nao picha ya kumbukumbu pale airport. Pia nimeambatanisha kibonzo cha Timu ya Cameroon ikiwa inarejea home. je TZ walienda wangapi na wamerejea wangapi? vp hakuna aliyetokomea London?
mwenye kujua timu ya Olimpiki inarudi TZ anifahamishe nataka nikapige nao picha ya kumbukumbu pale airport. Pia nimeambatanisha kibonzo cha Timu ya Cameroon ikiwa inarejea home. je TZ walienda wangapi na wamerejea wangapi? vp hakuna aliyetokomea London?