farm 360
Member
- Sep 27, 2020
- 11
- 10
Habari wana JF, naomba kujua ni lini msimu rasmi wa kuanza kilimo cha Ufuta, nataraji kulima Ufuta maeneo ya Babati mkoani Manyara. Pia nahitaji ufafanuzi kwa wataalamu wa muda mrefu wa zao la ufuta katika vipengele hivi.
1. Je heka moja ya ufuta inatoa kiasi gani cha gunia au debe ngapi za ufuta?
2. Nahitaji kufahamu kama kuna mbegu nyeupe peee ya ufuta tofauti na Ile yenye vidoti doti vyeusi. Au ni namna tu ya kusafisha ufuta wakati wa kuvuna!
3. Nahitaji kufahamu aina ya udongo sahihi kwa ajili ya zao la ufuta.
4. Nahitaji kujua msimu rasmi unaanza lini/mwezi kwa maana ya masika.
5. Mbolea gani nzuri kwa kustawisha zao la ufuta kwa tija.
● Mwisho naamini mwakani 2021 zao la ufuta litakuwa kwenye chat yake kama awali maana wadau wa soko hili wazungu/wahindi wanaendelea kuja nchini na shughuli nyingi zimeanza kurudi mahali pake baada ya janga la COVID 19 kuepushwa.
Mungu ni mwema sana.
Karibuni kwa msaada wa mawazo.
Asante
The Farmer
1. Je heka moja ya ufuta inatoa kiasi gani cha gunia au debe ngapi za ufuta?
2. Nahitaji kufahamu kama kuna mbegu nyeupe peee ya ufuta tofauti na Ile yenye vidoti doti vyeusi. Au ni namna tu ya kusafisha ufuta wakati wa kuvuna!
3. Nahitaji kufahamu aina ya udongo sahihi kwa ajili ya zao la ufuta.
4. Nahitaji kujua msimu rasmi unaanza lini/mwezi kwa maana ya masika.
5. Mbolea gani nzuri kwa kustawisha zao la ufuta kwa tija.
● Mwisho naamini mwakani 2021 zao la ufuta litakuwa kwenye chat yake kama awali maana wadau wa soko hili wazungu/wahindi wanaendelea kuja nchini na shughuli nyingi zimeanza kurudi mahali pake baada ya janga la COVID 19 kuepushwa.
Mungu ni mwema sana.
Karibuni kwa msaada wa mawazo.
Asante
The Farmer