Lini CHADEMA watahamia Dodoma? Nimemsikia Rais wa JMT Dr.John Magufuli akirusha dongo

Musoma

Senior Member
Oct 12, 2010
137
221
Nimemsikia Rais Dr.John P . Magufuli akitupa "dongo" kuwa kuna hata Vyama vya siasa ambavyo ni mabingwa wa kuitaka Serikali kuhamia Dodoma lakini wao makao yao Makuu yako Dar es Salaam!

Wadau ebu mnijuze licha ya ofisi za CHADEMA Makao Makuu pale Kinondoni Makaburini mtaa wa Ufipa kutokuwa na hadhi wanazo hata ndoto za kuhamia Dodoma! ?

Mtu mwenye akili nzuri akitaka kujua ni lini CHADEMA wanaweza kukabidhiwa Ikulu ya Magogoni ni kuangalia hadhi ya Ofisi yao na Ikulu ilivyo!

Ni Mlima Kilimanjaro na Kichuguu! Mlango wa ofisi yao utadhani ni "frame" ya Butchery pale Shekilango Legho! Msitoe Mapovu,njooni na maelezo ya maana na pia m-justfy ruzuku mnazotafuna na fedha za wafadhili!

Pia elezeni ni kwa nini Lowassa hatumii hizo "frame" zenu badala yake anatumia "godown" zake !?
 
Nimemsikia Rais Dr.John P . Magufuli akitupa "dongo" kuwa kuna hata Vyama vya siasa ambavyo ni mabingwa wa kuitaka Serikali kuhamia Dodoma lakini wao makao yao Makuu yako Dar es Salaam! Wadau ebu mnijuze licha ya ofisi za CHADEMA Makao Makuu pale Kinondoni Makaburini mtaa wa Ufipa kutokuwa na hadhi wanazo hata ndoto za kuhamia Dodoma! ?Mtu mwenye akili nzuri akitaka kujua ni lini CHADEMA wanaweza kukabidhiwa Ikulu ya Magogoni ni kuangalia hadhi ya Ofisi yao na Ikulu ilivyo! Ni Mlima Kilimanjaro na Kichuguu! Mlango wa ofisi yao utadhani ni "frame" ya Butchery pale Shekilango Legho! Msitoe Mapovu,njooni na maelezo ya maana na pia m-justfy ruzuku mnazotafuna na fedha za wafadhili! Pia elezeni ni kwa nini Lowass
a hatumii hizo "frame" zenu badala yake anatumia "godown" zake !?
Musoma kuwa analytical, usiwe kama dodoki. If it were me I would ask myself this question? What is the origin of CCM's wealth particularly buildings and football pitches? Unless you are a recent born boy, you will appreciate my question!
 
Du ushabiki bwana! Kwani CHADEMA walisema makao makuu yao ni Dodoma!?? yeye aeleze ni lini serkali inahamia Dodoma!Mbona mnashangilia kila kitu! Leo mh Rais alitakiwa aeleze kinagaubaga watz kuwa hali ya uchumi hairuhusu kuongeza mishahara,yeye kaishi kwenye mishahara hewa tu!? ,hilo pekeee...,ndio changamoto mbona yapo mengi,waandishi wa hotuba za Mh poleni
 
Musoma kuwa analytical, usiwe kama dodoki. If it were me I will ask myself this question? What is the origin of CCM's wealth particularly buildings and football pitches? Unless you are a recent born boy, you will appreciate my question!
Jamani si lazima kutumia English! Wewe hujui english specifically pronouns and conditional sentences! Sasa hii If it were me I will ......,jamani hizi Dv 5 za kata shida kweli !
 
Hehehe hawa kiofisichao nikama banda la kuku

Kuna lingine linatakiwa kubomolewa litoe uchafu
6e8736e6a3f710d684ff06bf0b80e45f.jpg
 
Musoma kuwa analytical, usiwe kama dodoki. If it were me I will ask myself this question? What is the origin of CCM's wealth particularly buildings and football pitches? Unless you are a recent born boy, you will appreciate my question!

Duh, nimecheka sana...origin ya majengo ya CCM ni michango kutoka kwa wananchi ambao ni wanachama wa CCM, kumbuka wakati wa chama kimoja almost kila mtu alikuwa ni mwana-CCM hata kama hapendi...CCM walitumia vizuri fursa hiyo...hata sasa CHADEMA wanaweza wakaitumia fursa wakawachangisha wanachama wao na wakajenga bonge la jumba kuliko la CCM pale Dodoma. CHADEMA ina wanachama na wafuasi wengi kweli kweli ni vema CHADEMA wawe wabunifu tayari kwa kuweka historia, CHADEMA is a government in waiting, sasa kuwa na ofisi zisizo na hadhi inaonyesha hakuna wabunifu wa kuleta maendeleo pale CHADEMA, come on CHADEMA, mjitahidi jamani.
 
Nataka tu tuhame kwenye lile jengo linalotutia aibu. Hata kama tukibaki dar. Nimechomekea tu lakini.
 
Ndani ya miezi sita najisikia aibu ku quote maneno ya mkulu, sijui itakapofika mwaka itakuwaje?
 
Back
Top Bottom