A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
Hivi ni lini CCM itatoka madarakani, moja ya furaha yangu nikuona Ccm wakipokonywa kiti cha uRais sio kwa ubaya ila tu mabadiriko haya natamani niyaone nikiwa bado hai.
Mimi ni MwanaCCM japo sifungamani na chama kama kimenizaa hapana, napenda maendeleo ni mzalendo, naamini kwenye sera chanya zenye maslah mapana ya Taifa na watu wake hivyo mabadiriko ni mabadiriko tu naombea Taifa langu lipitie nyakati za mabadiriko.
Mimi ni MwanaCCM japo sifungamani na chama kama kimenizaa hapana, napenda maendeleo ni mzalendo, naamini kwenye sera chanya zenye maslah mapana ya Taifa na watu wake hivyo mabadiriko ni mabadiriko tu naombea Taifa langu lipitie nyakati za mabadiriko.