domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,588
- 1,760
Mmawia,
Mmawia unapomjibu mtu namna hiiinawezekana moyoni mwako ukaona umempatia lakini kwa wenye kuelewa huu si utetezi mzuri kwa chama chako, unakuharibia zaidi kuliko kujenga. Tambua Tanzania bado kuna kundi kuwa la watu amba hawajafanya maamuzi kuhusu chama cha siasa. Ushawishi wa kimantiki unatakikana.
Inawezekana huyo uliyemjibu unafahamu mlengo na lengo lake la posti sasa badala ya kumkamilishia mlengo yake ungetumia nafasi hii kumfanya kama daraja la kuvukia kwa kutumia maneno yake mwenyewe. Ukitulia na kutafakari vizuri utatambua kuliko ulivyojidhalilisha, kukidhalilisha chama na kuwadhalilisha mama na dada zetu.
Mmawia unapomjibu mtu namna hiiinawezekana moyoni mwako ukaona umempatia lakini kwa wenye kuelewa huu si utetezi mzuri kwa chama chako, unakuharibia zaidi kuliko kujenga. Tambua Tanzania bado kuna kundi kuwa la watu amba hawajafanya maamuzi kuhusu chama cha siasa. Ushawishi wa kimantiki unatakikana.
Inawezekana huyo uliyemjibu unafahamu mlengo na lengo lake la posti sasa badala ya kumkamilishia mlengo yake ungetumia nafasi hii kumfanya kama daraja la kuvukia kwa kutumia maneno yake mwenyewe. Ukitulia na kutafakari vizuri utatambua kuliko ulivyojidhalilisha, kukidhalilisha chama na kuwadhalilisha mama na dada zetu.