peter muta
Senior Member
- May 20, 2015
- 145
- 19
Ama kweli akilindogo ikiongoza akili kubwa ni shida,mbeya mjini iko chini ya uongoz wa chadema lakini bado tu na hlo unabisha!
Shida yetu watz tunashindwa kutofautisha magufuli anaenda kila wilaya lakini lowassa walosombwa iringa njombe rukwa na wilaya zote za mbeya... acheni kujitekenya na kucheka wenyewe kama uhakika upo kwanini mna mashaka... oct 25 ndo kila kitu... tuache kuigiza
Ccm huwa wanatengeneza mafuriko kwa kusomba watu kwa maroli , na hasa wa vijijini na ndio maana lazima wawe wamepika wali siku ya mikutano yao ili kuwalisha watu walio wasomba kutoka mbali😱
UKAWA OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUkawa tumetishaaaaaaaaaaaa
View attachment 281554 Ukizoom utaona vizuri hizi picha, angalia hiyohizo picha za ccm zimekatwa check upande wa barabara utaona mView attachment 281479aa![]()
Shida yetu watz tunashindwa kutofautisha magufuli anaenda kila wilaya lakini lowassa walosombwa iringa njombe rukwa na wilaya zote za mbeya... acheni kujitekenya na kucheka wenyewe kama uhakika upo kwanini mna mashaka... oct 25 ndo kila kitu... tuache kuigiza
UKAWA Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Shida yetu watz tunashindwa kutofautisha magufuli anaenda kila wilaya lakini lowassa walosombwa iringa njombe rukwa na wilaya zote za mbeya... acheni kujitekenya na kucheka wenyewe kama uhakika upo kwanini mna mashaka... oct 25 ndo kila kitu... tuache kuigiza
Tuwe wa kweli ni wawazi. Kwenye suala la watu UKAWA wako juu sana na kwa sababu moja kuu, vibaka, malofa, wapumbavu na mafukara wapo wengi sana mitaani na hao ndio wanaounga mkono UKAWA na ndio wapiga kura wa mwaka huu.
Ni utamaduni wa kawaida sana kwa CCM kuwabeba watu kuwaleta mkutanoni, kwa mfano siku ya jana wakati Magufuli anawasili Mbeya msafara wake muda wote ulipokuwa ukipita barabarani ulikumbana na watu wa CHADEMA wakionyesha vidole viwili hewani, lakini alipofika uwanja wa mkutano alikuta wanaCCM ndio wamejaa uwanjani. Sasa jiulize waliokuwa barabarani walitokea wapi na waliofika uwanjani walitokea wapi?
Una uhakika?