Kuna tofauti kubwa sana kati ya wanachama na mashabiki,hata simba na yanga wana mashabiki wengi sana kuliko wanachama,leo ukisikia simba au yanga wana mkutano mkuu kwa maana ya wanaotakiwa kuingia ni wanachama tu,utashangaa utakuta kuna wanachama wengi sana 700,ndo wanaoamuzi makubwa ya club.lakini ukienda stadium utakuta kuna washabiki zaidi ya 20,000 kwa kila timu,jibu unalo[Usichanganye mpira na uchaguzi kwa sababu watu wengi wenye kadi za kupigia kura ndio wanaohudhuria mikutano+wanachama kwa hiyo suala la kupima ushindi kwa nyomi linaweza kuwa na majibu sahihi.Kama mtu alitoka umbali mrefu kwenda jangwani kupiga kelele kwa nauli yake huyo mtu atakuwa mjinga kiasi gani ashindwe kufika kituo cha kupigia kura jirani na kwake?Acheni dhana za kujipa moyo na kubishana na wakati kwa sababu wakati huwa unajiendesha na hauendeshwi na mpiga kura wala kiongozi kwa hiyo hata watakaopiga kura watashangaa baada ya matokeo kuwa tofauti kwa sababu wamefumbwa na wakati wa mabadiliko.