Line za MTN zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?

Fanya usajili ya kwako kwa kitambulisho chako. Usinunue kwa mtu.

Mwaka juzi, nlichomolewa hela kwenye MTN yangu ya Uganda. Mtandao ukakata, line haikusoma tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom