D Dejong031 Member Jun 7, 2020 85 85 Apr 28, 2024 #1 Nawezaje kupata kwa hapa Dar line za MTN for Rwanda, msaada
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 120,112 143,294 Apr 28, 2024 #3 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Mr Confidential JF-Expert Member Jul 1, 2018 1,497 2,359 Apr 28, 2024 #4 Fanya usajili ya kwako kwa kitambulisho chako. Usinunue kwa mtu. Mwaka juzi, nlichomolewa hela kwenye MTN yangu ya Uganda. Mtandao ukakata, line haikusoma tena.
Fanya usajili ya kwako kwa kitambulisho chako. Usinunue kwa mtu. Mwaka juzi, nlichomolewa hela kwenye MTN yangu ya Uganda. Mtandao ukakata, line haikusoma tena.