D Dejong031 Member Joined Jun 7, 2020 Posts 92 Reaction score 99 Apr 28, 2024 #1 Nawezaje kupata kwa hapa Dar line za MTN for Rwanda, msaada
MAWEED Platinum Member Joined Oct 11, 2016 Posts 4,567 Reaction score 16,154 Apr 28, 2024 #2 MTN zinafanya Kazi hapa tz
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,923 Apr 28, 2024 #3 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Mr Confidential JF-Expert Member Joined Jul 1, 2018 Posts 1,545 Reaction score 2,482 Apr 28, 2024 #4 Fanya usajili ya kwako kwa kitambulisho chako. Usinunue kwa mtu. Mwaka juzi, nlichomolewa hela kwenye MTN yangu ya Uganda. Mtandao ukakata, line haikusoma tena.
Fanya usajili ya kwako kwa kitambulisho chako. Usinunue kwa mtu. Mwaka juzi, nlichomolewa hela kwenye MTN yangu ya Uganda. Mtandao ukakata, line haikusoma tena.