mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Chuoni wanafunzwa kuvaa sare na kupiga salute. Lini umesikia polisi Tanzania kamvunja mshukiwa mgumu? Jw wanafundishwa kuua, na Tanzania kwa uhaba wa polisi, wanajeshi wanavishwa sare za polisi ili jumuia ya kimataifa isiilaumu nchi kulitumia jeshi kwa shughuli za kipolisi.
Dah! Kumbe kuna siri kali yaani wajeda wanavalishwa kipolisi kama ni hivyo kulikoni tupo pabaya.