Zemarcopolo, hivi kwa wiki unatengeneza shilingi chapi kwa thread zote unazo weka hapa? Plus comment za kuichafua cdm?wa kujiuzuru ni yule wa kwenu ambaye hajui umaskini wa wananchi wake unatokana na nini?
Zemarcopolo, hivi kwa wiki unatengeneza shilingi chapi kwa thread zote unazo weka hapa? Plus comment za kuichafua cdm?wa kujiuzuru ni yule wa kwenu ambaye hajui umaskini wa wananchi wake unatokana na nini?
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.
CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.
Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!
Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
mafilili anapost 18:25 zemarcopolo anachangia 18:26 duh kweli mmepania au ndo mambo ya 7000 per post?
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.
Mkuu,umenisoma lakini au ????
Au hujui ni nani kaenda Kujitetea Uholanzi???
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa;
tahahira mwingine aliyetoroka mirembe. naomba urudi mirembe mkatibiwe akili.
Ni ujinga kabisa.NANI KAKUDANGANYA KUNA KUTAPATAPA CDM? WATU WENGINE HOVYO KABISA. LIMTU BADALA YA KUHANGAIKIA MITOTO YAKE ILE LINAKUJA KUANIKA UCHI WA AKILI YAKE MTANDAONI. YOU ARE USED BY MAGAMBA. UTATUMIWA NYUMA NA HATIMAYE MBELE. Ukishtuka huna nyuma wala mbele.
Kuna vyama vingapi vya siasa vyenye usajili wa kudumu hapa Tanzania? what is so special with CHADEMA? Pale Morogoro mkutano wote wa CCM ulitawaliwa na CHADEMA, katibu mkuu alitumia saa moja nzima kuzungumzia CHADEMA! naona huko CHADEMA ni kuzuri sana, basi kesho asubuhi na mapema nitaenda kuchukua kadi.Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana
Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana
Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana
siku hizi mirembe kuna computer lab??
Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana