Limevunda CHADEMA

Limevunda CHADEMA

Eti nae anajisifu katoa mawazo yake! Lol kua na akili kama za wana ccm ni aibu tupu.
 
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.

CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.

Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!

Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015

has disrupted
 
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.

CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.

Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!

Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015

Akili ndogo kutawala akili kubwa
 
Zitto unaye msema ni gamba mwenzenu ndio maana mnampenda. Kiongozi yoyote wa cdm hawezi kupendwa na magamba hata siku moja. Mta ng'ang'ana sana lkn muda wa kuondoka umefika.
 
Jukwaa linanuka matusi vijana tubadilike, hizi lugha ndio tunazoziona bungeni
 
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.


una laana wewe swali je unafahamu mkuu wa maccm anao wanawake wangapi na vimada wangapi na idadi ya watoto alio nao unaifahamu? Na akistaafu unadhani huo mzigo wa kuilea hiyo familia nani atabebeshwa?

Kuhusu uzushi je unalo jibu la ilikuwa vipi 2005 wakati wa kampeni Dr Salim akapakaziwa kuwa Hizbu! na unalo jibu kwa nini maccm mliwaita CUF chama cha kiislam, huo ndo uzushi.
 
Jf siku hizi inajaa thread za ajabu ajabu sijui ndio form 4 leaver wetu wapendwa sana wa 2012!
 
Hapa JF kuna great thinkers na walikuwepo for so long. Lakini kwa sasa kumeingiliwa na wahuni, simple minds na watu wanajali fursa zao zaidi badala ya maslahi ya taifa. Ukiangalia wanaochangia na ukasoma between the lines, utagundua au wametumwa au wanalipwa kuanzisha topic isiyokuwa na kichwa wala miguu....!!! This is dangerous for this forum. Looks there is a sense of panic for a click of people as 2015 is approaching!! Let's wait and see.
 
mkuu watu huwa hawakubari ukweli ila ni ushauri wa kweli kwao but nani atapokea ushauri huu make cdm siyo chama make imekuwa kama ngos ya mbowe.
 
kwa nini ndani ya chadema watu hawasikilizwi bali wanaosikilizwa pekee ni mbowe na slaa wegine hawana weled au ni nini.
 
kwa nini ndani ya chadema watu hawasikilizwi bali wanaosikilizwa pekee ni mbowe na slaa wegine hawana weled au ni nini.

Mtei ameinvest pesa zake nyingi sana kuanzisha chadema. Hawezi kuacha watu wawe wanasema tu mambo wanayotaka.

Ndio maana tenda zote za chadema anachukua Mtei.

Hata wewe ungetumia pesa zako kuendesha chama usingekubali watu wakuingilie kwenye maamuzi.
 
hawa wanasiasa wetu wanatupeleka wapi? juzi kunamwanasiasa kaongea kitu cha ajabu kweli nikasema kweli siasa kazi,then baadaye nikasoma gazet la hoja likawa limeandika kuwa zito hatakiwi chadema lakini sababu ambazo zimetajwa za kumuondoa zito nikaona ni uonevu mtupu eti anataka kuchukua nafasi za wenyechama na wazee wa chama hivyo atoswe.
 
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.
Unawivu mbaya we kijana sasa hata mali za mamako unataka??Mamakokawa big g unalalama!nenda wewe upate mtoto mwenye nguvu kama CDM usiogope kwa babu japo itakuwa inauma lakini dawa!:smile-big:
 
Zitto unaye msema ni gamba mwenzenu ndio maana mnampenda. Kiongozi yoyote wa cdm hawezi kupendwa na magamba hata siku moja. Mta ng'ang'ana sana lkn muda wa kuondoka umefika.

mkuu zito mnamfukuza mnatumia hoja gani za msingi, jamani jamani kosa lake nini au kupingana na mawazo ya baadhi ya viongozi wacdm kimtazamo mkubari mkatae cdm bila zito haiwezekani.
 
Back
Top Bottom