Limevunda CHADEMA

Limevunda CHADEMA

CHADEMA wana timu pia ya ufundi inayofanya mazungumzo ya mara kwa mara na serikali.

Wasidanganye watu hapa eti serikali haionyeshi moyo wa kuleta katiba bora wakati timu yao ya ufundi kila mara wako mezani na serikali kila kitu wamekubariana.

CHADEMA wabinafsi sana. Tumewachoka na bla bla zao
 
Mitakataka inaanzisha hoja za kijinga yenyewe na kutumia I'd nyingine kujisupport! Haya, saa hizi umeshachelewa nenda kesho asubuhi Lumumba ukalipwe 7000 yako.

Nyani haoni kundule. Hata na wewe ni wale wale
 
CCM bana....
Badala ya kuibana serikali wao wanaitetea.
Mabunge ya ccm ni kama mandondocha....hanakwenda kwenda tu kama yameshikiwa akili.

Hopeless.
 
mafilili anapost 18:25 zemarcopolo anachangia 18:26 duh kweli mmepania au ndo mambo ya 7000 per post?

Jibu hoja. Kama huna hoja kaa kimya. Swala la nani ameposti saa ngapi halina maana.

Usifikiri mawazo yenu yaliyojaa utengenezaji wa multiple ID's kila mtu anayo.
 
Chadema imeshakufa tangu mwaka jana sasahivi ni makaratasi tu ndio yanajitembeza.
 
Ni ujinga kabisa.NANI KAKUDANGANYA KUNA KUTAPATAPA CDM? WATU WENGINE HOVYO KABISA. LIMTU BADALA YA KUHANGAIKIA MITOTO YAKE ILE LINAKUJA KUANIKA UCHI WA AKILI YAKE MTANDAONI. YOU ARE USED BY MAGAMBA. UTATUMIWA NYUMA NA HATIMAYE MBELE.

kwa upande wangu sijaona kosa ulilofanya mleta mada,naamin anaipenda sana chadema ndo maana katoa kasoro na njia za kutatua hizo kasoro,naomba sisi tunaopenda mabadiliko tuwe tunakubal kukosolewa,kwana anayekukosoa anapenda ufanye vizuri next time
 
Machadema tungekuwa makini tusingemshambulia mleta mada mana ameshauri, ila kwa kuwa vijana tuliopewa kazi ya kuipamba chadema mitandoni tuna upeo mdogo tunaishia kutukana
 
CCM bana....
Badala ya kuibana serikali wao wanaitetea.
Mabunge ya ccm ni kama mandondocha....hanakwenda kwenda tu kama yameshikiwa akili.

Hopeless.

anzisha mada, hapa tunajadili uozo ndani ya machadema
 
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.

CHADEMA ndo habari ya mjini, hutaki chukua dozen ya Topaz meza bila maji...
 
Mafilili ni mmoja wa watu ambao huwa nawaheshimu sana akiwemo ZeMarcopolo japo mpo against CHADEMA. Lakini katika hiyo hoja niliyoweka alama nyekundu, mzee umejishusha sana. Imeku-under-represent. Yaani umeonekana mweupe vibaya sana.

Hivi kwa kauli zile za akina Mwigulu ambazo hazina hata chembe ya ukweli unataka isiombwe miongozo? Kwa kauli kama za akina Serukamba, Kingwagallah na Silinde unataka isiombwe miongozo? Ulishawahi kuwasikia CHADEMA wakiomba miongozo dhidi ya Filikunjombe? CHADEMA wapo kwa ajili ya maslahi ya Tanzania na watanzania, kama CCM wangekuwa wanajenga hoja zenye nia ya kulijenga taifa hakuna mtu ambaye angeomba miongozo. Sasa akina Mwigulu kila wakisimama bungeni wanataja CHADEMA, utafikiri bungeni tumewatuma wakaijadili CHADEMA.

Inapotokea mtu anapotosha ukweli kwa maslahi ya chama badala ya kuangalia interest za nchi; kama ambavyo huwa anafanya Mwigulu au Wasira hivi kwanini wasiombe miongozo? Jaribuni wakati mwingine kushirikisha bongo zenu kabla ya kukurupuka na kuandika humu. Uandishi kama huu unawafanya mjidhalilishe, maana unawafanya muonekane kuwa ni watu mnayeyafikilia matumbo yenu tu na si taifa.
Be careful mkuu.
Watanzania siyo wajinga mkuu we tukana tu but siku ikifika usije kufa na presha.
 
Kwa nn asinge muumbua toka akiwa padri
Mpaka aone anatakakuongoza
Nchi ndo ajidai alizaa nae
 
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.

CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.

Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!

Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015

Sikio la kufa halisikii dawa , unapigia mbuzi kitaa mkuu CDM uwezo wao ndiyo umeishia hapo.
 
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.

Unachowaza ni ngono tuu na mambo yasiyo na msingi. Badala ya kutafakari mstakabali wa Taifa unawaza na kuoongelea maneno ya vijiweni. Unakuwaje kama MZIWANDA? KUla kunya kulala kwa mama. Usichangie kwa kutumia masaburi.
 
Back
Top Bottom