MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
CHADEMA wana timu pia ya ufundi inayofanya mazungumzo ya mara kwa mara na serikali.
Wasidanganye watu hapa eti serikali haionyeshi moyo wa kuleta katiba bora wakati timu yao ya ufundi kila mara wako mezani na serikali kila kitu wamekubariana.
CHADEMA wabinafsi sana. Tumewachoka na bla bla zao
Wasidanganye watu hapa eti serikali haionyeshi moyo wa kuleta katiba bora wakati timu yao ya ufundi kila mara wako mezani na serikali kila kitu wamekubariana.
CHADEMA wabinafsi sana. Tumewachoka na bla bla zao