Mim nakumbuka walipika wali nyama hapo kijiji kipindi hicho...basi mim nilikuwa kwa shangaz yngu baba na mama wakamwambia mdogo wangu nikija anipe chakula,sasa kumbe yy akaamua kula nyama yote na wali akabakisha mchuzi na ukoko...mimi narudi akaniambia hicho ndio nilichobakishiwa nilisikia uchungu kukosa nyama,waliporudi wazaz nikawaambia wameninyima nyama na wali na kunibakishia makombo.,si ndo DINGI akaniambia ukweli duh!dogo wangu alipata kichapo cha kikwelikweli mpaka leo ananikumbushia alivyonifanyia umafia tena ameshaoa.