Omukuru
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 242
- 41
Kuna mikakati gani yakulifanya liwakomboe wakulima wa TANZANIA. Au ndio kasumba ile ya kuthamini vya mzungu. Hapa serikali yenye akili timamu lazima iintervene
Ndugu umenena vema hapo; ila bahati mbaya Tanzania miaka hii serikali yenye akili timamu ni bidhaa adimu kabisa. Nasita tu kusema hatuna serikali.