SUNGURA-MJANJA
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 200
- 33
Nikiangalia taasisi zote za Serikali na zile za binafsi wamekuwa wakitumia lugha ya kingereza kama ndiyo lugha ya taifa. ndiyo maana sikipendi kiswahili ingawa ni lugha ninayotumia. kwa sababu hata Serikali yenyewe imekipuuza kiswahili..
Nawasilisha.
Nawasilisha.