Lile shauri la kupigwa Dr. Padre Kitima liliishia wapi?

Lile shauri la kupigwa Dr. Padre Kitima liliishia wapi?

Tulishuhudia Dr. Padre Kitima akipigwa na watu wasiojulikana. Shauri hili lilipelekwa mbele ya sheria. Ninauliza , shauri hili limeishia wapi?. Mbona hatusikii maendeleo yake?.
Mkuu iyo ishu serikali wanaijua vizuri ndo maana hamna kitakachofanyika
 
Tulishuhudia Dr. Padre Kitima akipigwa na watu wasiojulikana. Shauri hili lilipelekwa mbele ya sheria. Ninauliza , shauri hili limeishia wapi?. Mbona hatusikii maendeleo yake?.
Padre inawezekana hakupigwa,Bali ni miujiza ilimpata
 
linaishaje wakati uchaguzi mkuu haujaisha? nyie mnawajua fiisieeemuuu ama mnawasikia.
 
Back
Top Bottom