mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,468
- 6,021
Hii nimeipenda! Msumari utosini!mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa
Hii nimeipenda! Msumari utosini!mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa
Halafu wanawasafirisha bila Dignity hawawapi hata seat belts za kujifunga kama magunia ya mikaa vile.View attachment 2534383
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu
Futa machozi ndo kwanza TumetestHakuna nyomi lolote
WanaCCM wengi wameichoka CCM lakini wanahofia kujionesha kwa sababu chama kina vyombo vyake vinavypshughulika na lifespan ya members wake wanaotishia uhai wake