Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Hii habari ya kutotoa jasho hata kama ni "kama zamani" nina mashaka inaweza kuleta medical side effects, kwapa linatoa jasho kwa sababu maalum za kibaiolojia sasa ukiondoa/ kupunguza hii function ina maana unapunguza namna za kutoa uchafu mwilini.
uko right..................lkn zile laser huwa zinauwa glands za kutoa jasho kwa kiasi fulani....
sasa hapo ukubali kuwa bila ya nywele lkn uchafu kasi ubaki mwilini.......wenyewe wataalamu wanasema haina madhara ATI
ukisikia ukitaka uzuri sharti uzurike ndo hiyo kaka..........