johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Tuwe Wakweli Wabunge walikuwa hawafanyi Mikutano yoyote katika majimbo yao kwa kiburi tu kwani katazo la Serikali halikuwahusu wao
So kesho zile zama za mguu juu ndio zinahitimishwa na Chadema hapo Furahisha Mwanza
Jumaa kareem!
So kesho zile zama za mguu juu ndio zinahitimishwa na Chadema hapo Furahisha Mwanza
Jumaa kareem!