johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Tuwe Wakweli Chadema ingeachwa na Nguvu yake ile ile ya 2015 baada ya mabadiliko makubwa aliyoleta mzee Lowasa leo CCM ingekuwa chama cha upinzani
Ashukuriwe Shujaa Magufuli kwa ule Mfumo mpya ambao Albert Chalamila aliuita wa " Magufuli Ruling Party" ambapo Wajanja Wote wa Chadema walihamishiwa CCM iwe kwa hiyari au lazima
CCM ikizubaa kidogo tu Chadema itarudi kwenye Viwango vyake na mikutano ya Tundu Lisu DSM ni Ushahidi na Leo nimemuona kwa mara ya kwanza DC wa Kinondoni akifanya mkutano wa hadhara Tegeta yalipo makazi ya Huyo Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu
Mlale unono 😃😃!
Ashukuriwe Shujaa Magufuli kwa ule Mfumo mpya ambao Albert Chalamila aliuita wa " Magufuli Ruling Party" ambapo Wajanja Wote wa Chadema walihamishiwa CCM iwe kwa hiyari au lazima
CCM ikizubaa kidogo tu Chadema itarudi kwenye Viwango vyake na mikutano ya Tundu Lisu DSM ni Ushahidi na Leo nimemuona kwa mara ya kwanza DC wa Kinondoni akifanya mkutano wa hadhara Tegeta yalipo makazi ya Huyo Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu
Mlale unono 😃😃!