Mna share mkuu ukiendelea jua siku utapigiwa simu na shareholder mwenzako anunue share zako zote kama vipinakusoma mkuu....mana nikiwa naye hzo simu na msg za watu..mpaka kero...sasa sijui anawakataliaga wote au wengine tunashare..sifahamu
Poa mkuu, namsubiri ajiteteeusisahau kutupa mrejesho ..mkuu
Umpe likizo kisa? Kama kashindwa kustahimili magumu hapo akataka likizo usitegemee ktk ndoa atakuvumilia; halafu hiyo likizo anakua aanafanya nini kwanza; mm nawashangaaga sana watu wanataka likizo au wanao omba likizo ya mapenzi. Hakufai huyo na akienda trust me harudi.Hivi jameni likizo za mapenzi zinasaidia? Kuna mtu nataka nimpe likizo...mana nahisi tunapoelekea sipo...kwa waliojaribu..vp mlifanikiwa kurudisha malove-dove?