Likizo ya mapenzi(Hall pass)

Likizo ya mapenzi(Hall pass)

Ukweli ndugu binadamu wa sasa wana maarifa sana usijaribu hilo jambo litakuumiza then utajuta baadaye
nakusoma mkuu....mana nikiwa naye hzo simu na msg za watu..mpaka kero...sasa sijui anawakataliaga wote au wengine tunashare..sifahamu
 
muulize slaa na mshumbusi,wako kanada na likizo ya mapenzi.wamenogaje?//
 
Siku hizi wațu hawapendani ila tunaishi mambo yakiwa si mambo mtu anajichanganya mbele
 
Back
Top Bottom