nakusoma mkuu....mana nikiwa naye hzo simu na msg za watu..mpaka kero...sasa sijui anawakataliaga wote au wengine tunashare..sifahamuUkweli ndugu binadamu wa sasa wana maarifa sana usijaribu hilo jambo litakuumiza then utajuta baadaye
Haaaa..wewe huwez nishauri?
Sina likizo nikibwaga ninabwaga.kama yupo mkoa...unafanyaje? na unanusa harufu ya mchepuko...