Tuvumilie kwani maisha yanachangamoto nyingisasa mkuu tutabadilisha hawa wanawake hadi lini?
Tuvumilie kwani maisha yanachangamoto nyingisasa mkuu tutabadilisha hawa wanawake hadi lini?
Inategemea na jinsi likizo inavyotolewa + uelewa wa mtu, sababu kuna watu hata wakipenda vipi huwa hawababaishwi, hivi mfano mtu anaitoa kwa kashfa then hiyo kashfa imkute muelewa hiyo ndio inakua basi.Kama alikupenda atarudi, lkn kama ulikuwa kiraka ndo kipimo hicho
Okey kama ndivyoyah...ili kumisiana
Kama likizo unampa mkeo USIJARIBU unless unataka muachane.Hivi jameni likizo za mapenzi zinasaidia? Kuna mtu nataka nimpe likizo...mana nahisi tunapoelekea sipo...kwa waliojaribu..vp mlifanikiwa kurudisha malove-dove?
nakusoma mkuu....mana nikiwa naye hzo simu na msg za watu..mpaka kero...sasa sijui anawakataliaga wote au wengine tunashare..sifahamu
Ndiyo shida hii urembo wake unakufanya uteseke.....mbona warembo wako wengi. Angalia amani ya moyo wewe urembo si kitu.Duh...kwa kweli...alaf ni mremboje..nahc atachukua ata week kubebwa