bado mdogo, simu ikikua utaziona.
Mie nilianza na kitochi sikuwa naziona kabisa
Umefail somo la kutoa ushauri nasaha....
Hujamgongea mtu wa watu hata like ili kumpa moyo??
Umefail somo la kutoa ushauri nasaha....
Hujamgongea mtu wa watu hata like ili kumpa moyo??
Teh au mwambie anunue mchina mkubwaaaaaaaaaaaaaaaaaa ataziona.bado mdogo, simu ikikua utaziona.
Mie nilianza na kitochi sikuwa naziona kabisa
Ha ha ha...!Kongosho, you are so funny!afu kijiji kizima wananitegemea kwa ushauri
mimi ni VEO