kule nimehama muda tu, nilikuwa lunch na Kaizer my shemeji ndio tu nimerudi!
Kaizer unamjua vizuri? ni shemeji shemeji
namjuaje sasa??? ila ni shemeji tu, si shemeji, shemeji! kha, platozoom ufukunyuku utakuponza!
platozoom nini mbaya? cacico na mimi ndo kama uji na mgonjwa aisee.....wewe endelea na Roulette tuone mwisho wake...ila kama unapenda pingu lakini! kha!Usije sema sikukwambia
:second:Kuna bibie anaitwa Mwali, amewahi kunigongea like siku moja basi kilasiku najichanganya anipe tena lakini wapi
Sijielewi sijui nimemdondokea? i wish ile avatar anayotumia iwe picha yake kiukweli
Mkuu naona unajitengenezea zone ya kutokupewa BAN
Hata mimi platozoom ni hivo hivo. hasa alipokuwa na avatar hii nilio ibandika pembeni
ya kitanda changu... jst in case nikikwama siku moja moja kwa hamu ya felo ke'
naitumia kama wavuvi wanatumia ugali kula samaki wa kwenye picha cku samaki live hayupo.
huwa nahisi hadi hio sigara inakuwepo. Sexy babe Roulette popote ulipo, come this way...............:A S 465:
Kwani platozoom una matatizo gani?