GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Ni Gereza linalochukua Wafungwa Elfu Tatu tu ila lina Wafungwa zaidi ya Elfu Ishirini
Ni Gereza la Kijeshi ila linalochukua Raia wa Makosa mbalimbali
Ni Gereza ambalo Wafungwa wakiingia Siku ya Kwanza hufanyiwa Sherehe ya Mateso na Vipigo vikali ambavyo huwafanya Wafungwa hao washindwe Kuona kwa Siku Kumi na Tano kutokana na Maumivu waliyoyapata na waliyonayo
Ni Gereza ambalo kila Siku Wafungwa Hamsini Wanazikwa ( hasa kwa Kuchomwa Moto ) au Miili yao Kutupwa Mitoni na Baharini
Ni Gereza ambalo Wanafunzi wa Udaktari huruhusiwa kwenda bure kufanyia Uchunguzi ( Postmortem ) Miili ya Marehemu badala ya Kuhangaika kuwafanyia Panya kwakuwa Watu wanaokufa huko / humo Gerezani ni Wengi hata kuliko Panya
Ni Gereza ambalo Mtu / Mfungwa akijua anapelekwa huko hulazkmika ama Kujiua Mwenyewe au Kuhonga ili atoroke au apelekws Gereza lingine la afadhali
Ni Gereza ambalo idadi ya Wafungwa wanaotakiwa Kufa kwa Siku hiyo haijatimia ( hakidi haijatosha ) basi haraka sana Wafungwa hulazimishwa Kupigana na Kuumizana hadi Vifo Vitokee na watakaofanikisha hilo Siku hiyo hupewa Chakula Kizuri kama Shukran Kwao
Pongezi ( Credits ) nyingi kwa EFM Radio ( hasa ile Segment yao ) ya Unalijua / Walijua hili ambayo GENTAMYCINE nimeitoa Kwao na Facts zingine baadhi kuzitoa Mtandaoni wa Kulihusu Gereza hili Hatari zaidi duniani ambalo UN na Marekani limeamuru lifungwe na Vitendo hivi vya Ukatili kwa Wafungwa vikome / viachwe mara moja.
Je, na Tanzania tuna Sednaya yetu?
Ni Gereza la Kijeshi ila linalochukua Raia wa Makosa mbalimbali
Ni Gereza ambalo Wafungwa wakiingia Siku ya Kwanza hufanyiwa Sherehe ya Mateso na Vipigo vikali ambavyo huwafanya Wafungwa hao washindwe Kuona kwa Siku Kumi na Tano kutokana na Maumivu waliyoyapata na waliyonayo
Ni Gereza ambalo kila Siku Wafungwa Hamsini Wanazikwa ( hasa kwa Kuchomwa Moto ) au Miili yao Kutupwa Mitoni na Baharini
Ni Gereza ambalo Wanafunzi wa Udaktari huruhusiwa kwenda bure kufanyia Uchunguzi ( Postmortem ) Miili ya Marehemu badala ya Kuhangaika kuwafanyia Panya kwakuwa Watu wanaokufa huko / humo Gerezani ni Wengi hata kuliko Panya
Ni Gereza ambalo Mtu / Mfungwa akijua anapelekwa huko hulazkmika ama Kujiua Mwenyewe au Kuhonga ili atoroke au apelekws Gereza lingine la afadhali
Ni Gereza ambalo idadi ya Wafungwa wanaotakiwa Kufa kwa Siku hiyo haijatimia ( hakidi haijatosha ) basi haraka sana Wafungwa hulazimishwa Kupigana na Kuumizana hadi Vifo Vitokee na watakaofanikisha hilo Siku hiyo hupewa Chakula Kizuri kama Shukran Kwao
Pongezi ( Credits ) nyingi kwa EFM Radio ( hasa ile Segment yao ) ya Unalijua / Walijua hili ambayo GENTAMYCINE nimeitoa Kwao na Facts zingine baadhi kuzitoa Mtandaoni wa Kulihusu Gereza hili Hatari zaidi duniani ambalo UN na Marekani limeamuru lifungwe na Vitendo hivi vya Ukatili kwa Wafungwa vikome / viachwe mara moja.
Je, na Tanzania tuna Sednaya yetu?