Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
hizi dashes za nini?? ------------ siku hizi ni tusi???
Sasa mbona dashes umeweka mwenyewe? Au Mods wame-edit?
hizi dashes za nini?? ------------ siku hizi ni tusi???
kwanza kabisa,zile dashes nimeandika W.A.M.E.N.U.N.U.L.I.W.A hivi hili neno hapa JF ni TUSI??? jibu langu maanake ni kuwa walichoonyesha walipokuwa ndio kimefanya tuwachukua....na kwasasa tunawajadili kama epl players....di maria ameforce move brother....alikuwa best player pale especially CL final,sina chuki na Liverpool ila nasema ukweli.
Hahahahahahahaaaa, Di Maria amefanya nini? wakati kwenye interview yake ya kwanza kabisa alisema hakutaka kuondoka Madrid?
Sasa mbona dashes umeweka mwenyewe? Au Mods wame-edit?
hebu andika wa.me.nu.nu.liwa uone
Hahahahahahaaa, aisee! Labla litakua tatizo la kiufundi
hakutaka kuondoka ila waliyomfanyia yalimlazimisha awaambie wamuachie aondoke.....
Anyway baada ya mechi 10 hivi tutazijua mbivu na mbichi kwenye EPL kwa sasa bado mapema mno kuanza kujitapa kama ndugu zangu Ntuzu na agosti 8 lakini pia dalili za mvua ni mawingu na nyota njema pia huonekana asubuhi.
Kila la kheri na "Galacticos" wako, me team yangu haina galactico hata mmoja wala hatuna pesa ya kumlipa mchezaji mmoja £280k kwa wiki
Anyway baada ya mechi 10 hivi tutazijua mbivu na mbichi kwenye EPL kwa sasa bado mapema mno kuanza kujitapa kama ndugu zangu Ntuzu na agosti 8 lakini pia dalili za mvua ni mawingu na nyota njema pia huonekana asubuhi.
Kila la kheri na "Galacticos" wako, me team yangu haina galactico hata mmoja wala hatuna pesa ya kumlipa mchezaji mmoja £280k kwa wiki
hahahaha siyo tatizo la kiufundi,kuna ile kauli ya kuwaponda vijana wa lumumba wame.....nunu..liwa basi mods wakaona watete vijanaHahahahahahaaa, aisee! Labla litakua tatizo la kiufundi
Yaani ktk watu wanaoota ndoto za mchana kweupe ni wewe...Man U bado ni urojo tu ndugu yangu.
Liverpool tupo vizuri sana msimu huu kila mwenye macho ya soka ameona ndo maana hata Mourinho wa Juventus kakuelezea...tatizo umeamua kuwa blind kama beki wenu Blind Daley!
Last season tuliwapiga home and away... subiri tena this time home tutakavyowachakaza!
Eti hatuchezi soka la kupendeza...kweli??? Duh alma kweli unavituko mkuu...LFC ndo mambo yote since last season mpaka msimu huu.
Eti galacticos...pfeeeew!
------------ nimepita kuhakiki
Msimu huu naona EPL imebarikiwa ma-star kwa kweli, inaweza angalau kusshindana na La Liga kwa 'galacticos, Arsena kuna akina OZIL, SANCHES........Chelsea kuna DIEGO COSTA,FABREGAS.......... Man city kuna SILVA,YAYA TOURE,AGUERO
Tukija man utd kuna DI MARIA,FALCAO,ROONEY,VAN PERSIE, Liverpool inabidi wajipange maanake hamna jina hata moja msimu huu game zao hazitavutia sana....Ila kiujumla kutakuwa na ushindani wa hali ya juu na haya majina makubwa mechi zitavutia sana imagine 7.di maria 8.mata 9.falca 10.rooney 11.januzay duh tunatisha!!!
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]
[/TD]Msimu huu naona EPL imebarikiwa ma-star kwa kweli, inaweza angalau kusshindana na La Liga kwa 'galacticos,
Arsena kuna akina OZIL, SANCHES........Chelsea kuna DIEGO COSTA,FABREGAS.......... Man city kuna SILVA,YAYA TOURE,AGUERO
Tukija man utd kuna DI MARIA,FALCAO,ROONEY,VAN PERSIE, Liverpool inabidi wajipange maanake hamna jina hata moja msimu huu game zao hazitavutia sana....Ila kiujumla kutakuwa na ushindani wa hali ya juu na haya majina makubwa mechi zitavutia sana imagine 7.di maria 8.mata 9.falca 10.rooney 11.januzay duh tunatisha!!!
cc: Ntuzu Mentor EMT agosti 8 MosDef pierre Fm truegooner rubaman Belo Ngongo Mourinho Wacha1 privacy Mbeky The Magnificent Viol Idimi na wote mnaobariki jukwaa la michezo......