Ligi Kuu Uingereza 2014/2015

Ligi Kuu Uingereza 2014/2015

England - Premier League

FTManchester City
3 - 1
Liverpool

S. Jovetić
41 '1 - 0

S. Jovetić
55' 2 - 0

S. Agüero
69' 3 - 0

3 - 1
83' P. Zabaleta
(OG)
 
Saturday 30th August 2014
Close
BARCLAYS PREMIER LEAGUE
Show last 5 matches and coverage Fixture Kick-off Status
Show
Burnley
0-0
Man Utd 10'
LIVE
Show
Man City v Stoke 15:00
Preview Man City Vs Stoke
Show
Newcastle v Crystal Palace 15:00
Preview Newcastle Vs Crystal Palace
Show
QPR v Sunderland 15:00
Preview QPR Vs Sunderland
Show
Swansea v West Brom 15:00
Preview Swansea Vs West Brom
Show
West Ham v Southampton 15:00
Preview West Ham Vs Southampton
Show
Everton v Chelsea 17:30
Preview Everton Vs Chelsea
 
Sasa inaleta msisimuko,kwa mechi nilzoziona marefarii hawatoi penat hovyo,wamekuwa wagumu wakutoa penati.Naulza wadau haya ni mabadilko ya kufanya wachezaji wakaze na wasjilegeze ?
 
Msimu huu naona EPL imebarikiwa ma-star kwa kweli, inaweza angalau kusshindana na La Liga kwa 'galacticos,
Arsena kuna akina OZIL, SANCHES........Chelsea kuna DIEGO COSTA,FABREGAS.......... Man city kuna SILVA,YAYA TOURE,AGUERO

Tukija man utd kuna DI MARIA,FALCAO,ROONEY,VAN PERSIE, Liverpool inabidi wajipange maanake hamna jina hata moja msimu huu game zao hazitavutia sana....Ila kiujumla kutakuwa na ushindani wa hali ya juu na haya majina makubwa mechi zitavutia sana imagine 7.di maria 8.mata 9.falca 10.rooney 11.januzay duh tunatisha!!!

cc: Ntuzu Mentor EMT agosti 8 MosDef pierre Fm truegooner rubaman Belo Ngongo Mourinho Wacha1 privacy Mbeky The Magnificent Viol Idimi na wote mnaobariki jukwaa la michezo......
 
Last edited by a moderator:
msimu huu naona epl imebarikiwa ma-star kwa kweli, inaweza angalau kusshindana na la liga kwa 'galacticos,
arsena kuna akina ozil, sanches........chelsea kuna diego costa,fabregas.......... Man city kuna silva,yaya toure,aguero

tukija man utd kuna di maria,falcao,rooney,van persie, liverpool inabidi wajipange maanake hamna jina hata moja msimu huu game zao hazitavutia sana....ila kiujumla kutakuwa na ushindani wa hali ya juu na haya majina makubwa mechi zitavutia sana imagine 7.di maria 8.mata 9.falca 10.rooney 11.januzay duh tunatisha!!!

Cc: ntuzu mentor emt agosti 8 mosdef pierre fm truegooner rubaman belo ngongo mourinho wacha1 privacy mbeky the magnificent viol idimi na wote mnaobariki jukwaa la michezo......

mna point ngapi vile?
 
Last edited by a moderator:
I can help kukumbuka hao wengi uliowataja wametemwa spain in one way or the other..

Fabregas, Toure, Ozil, Costa to name just a few..., ila nadhani kwa wote hao Fabregas na Costa ni addition nzuri sana kwa Chelsea sababu wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji.. Last Piece in the Puzzle..

By the way Talent does not substitute Hard work.., Ozil inabidi ajitume sana na kuwa grafter kama anataka ku-fulfill potential yake.., sijui United watawezaje kuwa-accomodate hao strikers.., ila najua huu ni mwanzo tu wa Van Gaal kutengeneza timu yake ataondoa wengine wengi na kuleta wengine wengi January.., Timu yake tutaanza kuiona mwaka kesho sio mwaka huu
 
Msimu huu naona EPL imebarikiwa ma-star kwa kweli, inaweza angalau kusshindana na La Liga kwa 'galacticos,
Arsena kuna akina OZIL, SANCHES........Chelsea kuna DIEGO COSTA,FABREGAS.......... Man city kuna SILVA,YAYA TOURE,AGUERO

Tukija man utd kuna DI MARIA,FALCAO,ROONEY,VAN PERSIE, Liverpool inabidi wajipange maanake hamna jina hata moja msimu huu game zao hazitavutia sana....Ila kiujumla kutakuwa na ushindani wa hali ya juu na haya majina makubwa mechi zitavutia sana imagine 7.di maria 8.mata 9.falca 10.rooney 11.januzay duh tunatisha!!!

cc: Ntuzu Mentor EMT agosti 8 MosDef pierre Fm truegooner rubaman Belo Ngongo Mourinho Wacha1 privacy Mbeky The Magnificent Viol Idimi na wote mnaobariki jukwaa la michezo......

mna point ngapi vile?

man u wana point chache kuliko mechi walizocheza. hahahaha!!! heard it some where.
 
Man U bhana mna moyo,utashangaa game inayokuja mnatandikwa,sijui mtatoa wapi matumaini
 
Sasa inaleta msisimuko,kwa mechi nilzoziona marefarii hawatoi penat hovyo,wamekuwa wagumu wakutoa penati.Naulza wadau haya ni mabadilko ya kufanya wachezaji wakaze na wasjilegeze ?
kitu ambacho ilikuwa inawafaidisha sana Man U,mwaka huu ni kutoa jasho
 
@Mod Invisible Paw kwanini mmeunganisha thread yangu na hii?? hazina uhusiano hata kidogo.....thread yangu inahusu new era kwenye premier league na man utd not just premier league....mnaboa sometime kuunganisha thread,sio kila topic ya mpira ni sawa na nyingine
 
Last edited by a moderator:
@Mod Invisible Paw kwanini mmeunganisha thread yangu na hii?? hazina uhusiano hata kidogo.....thread yangu inahusu new era kwenye premier league na man utd not just premier league....mnaboa sometime kuunganisha thread,sio kila topic ya mpira ni sawa na nyingine

Kuna wakati wanaboa ila vile tuu basi hakuna cha kufanya
 
Last edited by a moderator:
Msimu huu naona EPL imebarikiwa ma-star kwa kweli, inaweza angalau kusshindana na La Liga kwa 'galacticos,
Arsena kuna akina OZIL, SANCHES........Chelsea kuna DIEGO COSTA,FABREGAS.......... Man city kuna SILVA,YAYA TOURE,AGUERO

Tukija man utd kuna DI MARIA,FALCAO,ROONEY,VAN PERSIE, Liverpool inabidi wajipange maanake hamna jina hata moja msimu huu game zao hazitavutia sana....Ila kiujumla kutakuwa na ushindani wa hali ya juu na haya majina makubwa mechi zitavutia sana imagine 7.di maria 8.mata 9.falca 10.rooney 11.januzay duh tunatisha!!!

cc: Ntuzu Mentor EMT agosti 8 MosDef pierre Fm truegooner rubaman Belo Ngongo Mourinho Wacha1 privacy Mbeky The Magnificent Viol Idimi na wote mnaobariki jukwaa la michezo......

Galacticos? Hivi Ozil, Costa, Silva, Sanchez, Di Maria ni galacticos? Kwanza hili neno linanitatiza kidogo kupata maana yake halisi, labla ungeanza na unamaanisha nini na neno Galacticos maana Magalacticos ninawajua mimi washastaafu soccer, Zizzou, Ronaldo Original, Figo, Beckam, Raul
Halafu unasemaje Liverpool game zao hazitavutia, kwa kigezo kipi? Hivi Ozil ana jina kubwa kuliko Balotelli? Man United inayosuasua inaweza kutandaza soka maridadi na la kuvutia kama la Liverpool?
Mata anaendelea kuchemsha, Januzaj siijua atacheza namba ipi na ujio wa kina Di Maria na Falcao, wakati wewe unawishes za kucheza mpira mzuri wenzakoo kina Sterring, Sturridge (Liverpool), Costa, Cesc, Hazard wanaishi uhalisia sio day dreams
 
Last edited by a moderator:
Galacticos? Hivi Ozil, Costa, Silva, Sanchez, Di Maria ni galacticos? Kwanza hili neno linanitatiza kidogo kupata maana yake halisi, labla ungeanza na unamaanisha nini na neno Galacticos maana Magalacticos ninawajua mimi washastaafu soccer, Zizzou, Ronaldo Original, Figo, Beckam, Raul
Halafu unasemaje Liverpool game zao hazitavutia, kwa kigezo kipi? Hivi Ozil ana jina kubwa kuliko Balotelli? Man United inayosuasua inaweza kutandaza soka maridadi na la kuvutia kama la Liverpool?
Mata anaendelea kuchemsha, Januzaj siijua atacheza namba ipi na ujio wa kina Di Maria na Falcao, wakati wewe unawishes za kucheza mpira mzuri wenzakoo kina Sterring, Sturridge (Liverpool), Costa, Cesc, Hazard wanaishi uhalisia sio day dreams

pole mkuu...sturridge,sterling hawako kwenye level za akina FALCAO,DI MARIA hizi ni level nyingine....pili liverpool haina soka la kuvutia.....tatu tangu ameondoka suarez liverpool hakuna worldclass player.
 
pole mkuu...sturridge,sterling hawako kwenye level za akina FALCAO,DI MARIA hizi ni level nyingine....pili liverpool haina soka la kuvutia.....tatu tangu ameondoka suarez liverpool hakuna worldclass player.

Ama kweli wewe ni Man United damu, Falcao na Di Maria wamecheza game ngapi za EPL 2014/15 na wamefanya kipi?
Kama Liverpool hii ya BR haichezi soka la kuvutia then naomba niishie hapahapa, nilidhani umeanzisha uzi kujadili mastaa wa EPL 2014/15 kumbe nimekosea
 
Ama kweli wewe ni Man United damu, Falcao na Di Maria wamecheza game ngapi za EPL 2014/15 na wamefanya kipi?
Kama Liverpool hii ya BR haichezi soka la kuvutia then naomba niishie hapahapa, nilidhani umeanzisha uzi kujadili mastaa wa EPL 2014/15 kumbe nimekosea

------------ si kwasababu wameonyesha uwezo wao kwenye EPL NO! ni kwasababu wameonyesha uwezo wao huko walikotoka......kweli umepotea maanake nimeweka wazi majina ya tunaowajadili,na sidhani kama wanachezea ligi ingine zaidi ya EPL
 
------------ si kwasababu wameonyesha uwezo wao kwenye EPL NO! ni kwasababu wameonyesha uwezo wao huko walikotoka......kweli umepotea maanake nimeweka wazi majina ya tunaowajadili,na sidhani kama wanachezea ligi ingine zaidi ya EPL

Brother kama ni EPL kwanini uwape sifa watu ambao hata hawajagusa mpira bado? (Falcao)
Unajua hata kina Shevchenko, Veron, Poboksy, Crespo n.k walikuja na majina makubwa lakini walichemka? Nikakuuliza Ozil ana jina kubwa kuliko Balotelli hujajibu, je D.Costa, Sanchez nk nao ni magalacticos hujajibu, kama Di Maria ni galactico mbona kaondolewa huko nyumbani kwa Magalacticos kama kit man?
Anyway naheshimu mawazo yako lakini ushabiki wako wa Man United unakupofua au una chuki tu na Liverpool
 
------------ si kwasababu wameonyesha uwezo wao kwenye EPL NO! ni kwasababu wameonyesha uwezo wao huko walikotoka......kweli umepotea maanake nimeweka wazi majina ya tunaowajadili,na sidhani kama wanachezea ligi ingine zaidi ya EPL

hizi dashes za nini?? ------------ siku hizi ni tusi???
 
Brother kama ni EPL kwanini uwape sifa watu ambao hata hawajagusa mpira bado? (Falcao)
Unajua hata kina Shevchenko, Veron, Poboksy, Crespo n.k walikuja na majina makubwa lakini walichemka? Nikakuuliza Ozil ana jina kubwa kuliko Balotelli hujajibu, je D.Costa, Sanchez nk nao ni magalacticos hujajibu, kama Di Maria ni galactico mbona kaondolewa huko nyumbani kwa Magalacticos kama kit man?
Anyway naheshimu mawazo yako lakini ushabiki wako wa Man United unakupofua au una chuki tu na Liverpool

kwanza kabisa,zile dashes nimeandika W.A.M.E.N.U.N.U.L.I.W.A hivi hili neno hapa JF ni TUSI??? jibu langu maanake ni kuwa walichoonyesha walipokuwa ndio kimefanya tuwachukua....na kwasasa tunawajadili kama epl players....di maria ameforce move brother....alikuwa best player pale especially CL final,sina chuki na Liverpool ila nasema ukweli.
 
Back
Top Bottom