Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,770
- 1,554
Wewe ni mtabiri..
mimi nimependa hiyo avatar yako mkuu!!!! tukubaliane ,man u akishinda unanipa namba zao?? uko tayari???
hahahaha amna shda usihofu
naacha kaz ya radio presenter tbr apa
uache sasa moja hiyo. More things to come,yan najua man u lazima apgwe tena sasa akishnda naacha kaz wale paka weusi ni nomer sana
naacha kaz ya radio presenter tbr apa
naacha kaz ya radio presenter tbr apa
Kazi yenyewe hiyo ya kupiga kelele tena kiradio kinachosikika mitaa miwili ndo unatusumbua bora uache tu hata kama Man wasipopigwa maana kwa hiyo kazi mh! Bora ingekuwa inasikika eneo kubwa la Tz