OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,243
- 103,945
Beno kama jini
Wakiwabunyua utaskia"yanga inakata moto mzunguko wa pili"Ushawai sikia wapi Joy na Aziza wanafunga?
Djuma Shaban ni beki ana goli nne na assist tanoEnonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni beki
Kambale ye ni mshanbuliaji lakini alitumia miaka miwili kuzitafuta
Joy ana uso soft sana,ataweza kucheza uwanja wa Manungu wenye mvua na matope?Wakiwabunyua utaskia"yanga inakata moto mzunguko wa pili"
Tafuteni wimbo mpya
Leo Kibudenga kashinda basi pitia kwenye uzi wako wa takwimu Vs Mayele ukaweke rekodi Sawa hata kusalimia tu kama hilo huwezi.mwenye namba ya mshika kibendera au insta yake
haa wapi,mmesajili mshambuliaji kimeo mechi 48 goli moja.mwakani mtabuma.Hii simba isipofanya usajili wa maana, msimu ujao tutawapiga mechi zote. Sioni tena uwezekano wa sare ya kubahatisha kutoka kwao!
Imagine Yanga ikutangulie goli moja! Hivi utabadili vipi matokeo na kushinda kwa 3-1!! Yaani kwa wale mabeki na viungo makatili, ndiyo akina Kibu D wapite tu kirahisi! Big No
usiku sasa nenda kalaleLeo Kibudenga kashinda basi pitia kwenye uzi wako wa takwimu Vs Mayele ukaweke rekodi Sawa hata kusalimia tu kama hilo huwezi.
Lile goli hata yeye mwenyewe alijisikia aibu kushangilia! Maana alijikuta tu mpira umemgonga kwenye ugoko, na kuingia golini!Leo Kibudenga kashinda basi pitia kwenye uzi wako wa takwimu Vs Mayele ukaweke rekodi Sawa hata kusalimia tu kama hilo huwezi.
Mnyama anamfukuza mwinzi kimya kimya. Kudadeki.Mnyama kama Mnyama.
Iweke hapa tuone la sivyo ni umbea kama wa Da Mange!Bora huyu kavua kwenye ligi kuu, sasa fei toto wenu alivua jezi kwa kufunga goli mapinduzi cup tena timu ya mtaani ya Zanzibar.
Wewe mbona hujaweka hapa, kwa hiyo na wewe ni umbea?Iweke hapa tuone la sivyo ni umbea
Niweke nini?Wewe mbona hujaweka hapa, kwa hiyo na wewe ni umbea?
Bangala na inonga wamewezaje?Joy ana uso soft sana,ataweza kucheza uwanja wa Manungu wenye mvua na matope?
mmeshachukua kombe sasa simba kushinda bonanza mnaumia nini?Kombe la nani zaidi mbona hatulioni
Tff wametudhulumu sisi simba hawajui ni next level?
Sisi hatuumii bali tunawapongeza kwa kuchukua kombe na nyiemmeshachukua kombe sasa simba kushinda bonanza mnaumia nini?