Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,239
- 22,675
Kondoo wa mwamedi yaani buku uchangie na kombe mkose TANESCO wakate umeme unaenda bureNg'ombe wa mayele
Kondoo wa mwamedi yaani buku uchangie na kombe mkose TANESCO wakate umeme unaenda bureNg'ombe wa mayele
Gooooooal kibabage anasawazisha hapa goli la 3Kumbavu!!!
kata umemeKondoo wa mwamedi yaani buku uchangie na kombe mkose TANESCO wakate umeme unaenda bure
Na Nyie Naskia Mmemsajili Phiripomsimu ujao mtakua hovyo sana kuwai kutokea Duniani,mshaanza kusajili wakina Joyce,Aziza Ki,Kambare,,mnafeli mjue.
Acha wivuKondoo wa mwamedi yaani buku uchangie na kombe mkose TANESCO wakate umeme unaenda bure
Afanyeje sasa maana hana hata goli 7 na wenge limempanda kichwani baada ya kuona mwezi..Aliyefunga goli la 2 la Simba anayo akili timamu?
Unafunga goli alafu unavua jezi kwa mechi ambayo haina haitabadilisha nafasi ya timu ni akili kweli?
GENTAMYCINE alishamuongelea Matola.
Hapa Matola atashinda mechi zote kwa magoli mengi ili aonekane anafaa.View attachment 2265905
Wewe kama shabiki una machango gani kwenye timu?Simba wanatakiwa wavunje mkataba wa kanoute tunahitaji watu kwelikweli pale kati, halafu wasituone cc mashabiki kama watoto wadogo,ule usajili waliouhaidi viongozi wakishindo uko wapi? Waache uhuni kama ela hamna waseme tujue....inaumiza sana kwa kweli kuiona simba inakosa shape yakiuchezaji halafu kwenye usaji hakuna linalofanyika la maana uupuzi mtupu
Tuko pamoja
Bora huyu kavua kwenye ligi kuu, sasa fei toto wenu alivua jezi kwa kufunga goli mapinduzi cup tena timu ya mtaani ya Zanzibar.Aliyefunga goli la 2 la Simba anayo akili timamu?
Unafunga goli alafu unavua jezi kwa mechi ambayo haina haitabadilisha nafasi ya timu ni akili kweli?
GENTAMYCINE alishamuongelea Matola.
Hapa Matola atashinda mechi zote kwa magoli mengi ili aonekane anafaa.
Filipo wa wapi,tamka vizuri"sema Moses Firi"Na Nyie Naskia Mmemsajili Phiripo
Maskini akipata..........TFF waandae kombe la mshindi wa pili ili wapatiwe hawa makolo kwa hizi jitihada wanazozionesha
Kombe la nani zaidi mbona hatulioniTFF waandae kombe la mshindi wa pili ili wapatiwe hawa makolo kwa hizi jitihada wanazozionesha
Enonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni bekiHenock Goooooooooooooaaal gooal
Henock anaipatia Simba SC bao la tatu | SIMBA SC 3-1 KMC FC
Hilo ndiyo kombe lenu.Possesion 81%
Joyce na Aziza awajamboHilo ndiyo kombe lenu.
Hongereni
Mwendo mrefu wa chizi na unarudi na makopo,hivyo ndivyo huyo inonga anavyofanya hana tofauti na chiziEnonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni beki
Kambale ye ni mshanbuliaji lakini alitumia miaka miwili kuzitafuta
Tukumbuke hata kinara wa Assist Djuma Shabani ana assist nyingi kuliko kiungo mchezeshaji Larry BwalyaEnonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni beki
Kambale ye ni mshanbuliaji lakini alitumia miaka miwili kuzitafuta