Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-1 KMC FC | Uwanja wa Mkapa | Juni 19, 2022

Aliyefunga goli la 2 la Simba anayo akili timamu?

Unafunga goli alafu unavua jezi kwa mechi ambayo haina haitabadilisha nafasi ya timu ni akili kweli?

GENTAMYCINE alishamuongelea Matola.

Hapa Matola atashinda mechi zote kwa magoli mengi ili aonekane anafaa.View attachment 2265905
Afanyeje sasa maana hana hata goli 7 na wenge limempanda kichwani baada ya kuona mwezi..

Msamehe tu
 
Simba wanatakiwa wavunje mkataba wa kanoute tunahitaji watu kwelikweli pale kati, halafu wasituone cc mashabiki kama watoto wadogo,ule usajili waliouhaidi viongozi wakishindo uko wapi? Waache uhuni kama ela hamna waseme tujue....inaumiza sana kwa kweli kuiona simba inakosa shape yakiuchezaji halafu kwenye usaji hakuna linalofanyika la maana uupuzi mtupu
Wewe kama shabiki una machango gani kwenye timu?
 
Aliyefunga goli la 2 la Simba anayo akili timamu?

Unafunga goli alafu unavua jezi kwa mechi ambayo haina haitabadilisha nafasi ya timu ni akili kweli?

GENTAMYCINE alishamuongelea Matola.

Hapa Matola atashinda mechi zote kwa magoli mengi ili aonekane anafaa.
Bora huyu kavua kwenye ligi kuu, sasa fei toto wenu alivua jezi kwa kufunga goli mapinduzi cup tena timu ya mtaani ya Zanzibar.
 
Henock Goooooooooooooaaal gooal

Henock anaipatia Simba SC bao la tatu | SIMBA SC 3-1 KMC FC
Enonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni beki

Kambale ye ni mshanbuliaji lakini alitumia miaka miwili kuzitafuta
 
Enonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni beki

Kambale ye ni mshanbuliaji lakini alitumia miaka miwili kuzitafuta
Mwendo mrefu wa chizi na unarudi na makopo,hivyo ndivyo huyo inonga anavyofanya hana tofauti na chizi
 
Enonga anafunga goli mbili kwa miezi miwili halafu huyo ni beki

Kambale ye ni mshanbuliaji lakini alitumia miaka miwili kuzitafuta
Tukumbuke hata kinara wa Assist Djuma Shabani ana assist nyingi kuliko kiungo mchezeshaji Larry Bwalya
 
Back
Top Bottom