Lifahamu jiji la Geneva nchini Switzerland kwa undani

In fact huitajiki kutumia nguvu kubwaaaaa kumfanya mtu akuamini kwa vile ulivo.

Ukifanya, basi wee ni mpumbavu ambaye ukitaka akupe Siri zake, weee gonga kichwa chake !!.



Mbona manyuzi ni Mengi humu ya watu ukisoma unajua hapa ni kusogeza siku..... Kwann wewe sasa ???.




Watu wapambane tu, Corona imekuja kuharibu uchumi wa mmoja mmoja mpaka Taifa.


Badala ya kutumia muda kupeana michongo ya mishe mishe, watu wanataka watumie muda wao kuaminishwa kua uko Kweli Geneva ??? Hahahahaha inasikitisha.




Wewe jamaa, endelea kushusha nyuzi Man, uwe una gugo , uwe wapi, wee shusha nyuzi zako kiroho safiiii ( japo zitusaidia kujua yaliyoko huko Duniani)



ni maajabu MTU mmoja yeye anataka tuamini yupo Ng'ambo... Lkn yeye kuamini wenzake pia wapo walioko ng'ambo ni tizii sana... !!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄Mimi kitu ambacho hakiniathiri Wala simuathiri mwenzangu huwa hakinipi shida kabisa. na nafahamu mkuu kuna uhusiano kati ya umaskini na hasira huwa napuuza tu
 
Nimeishi kamji flani nikiwa napiga kazi, maisha ya unyamwezini Safi sana, sikuruhusiwa kudrive, nilitumia bike, napenda pombe sana. Bahati njema kwangu bar moja jirani sana sikuigundua, siku moja napita nikaona nijonhee nikaingia paa, namkuta mbongo anauza, nikajiweka



Usihangaike na wanajamii, waache. Kula Bata lkn shusha kanjengo kako dodoma,dsm,aru,Moshi au kwanza.

Parabora, hujapata demu wa kukaa nae?

Wale tunaoishi bongo na hatujawahi kutoka nje, I mean exposure, ata Kama una PhD unakosa mengi huko duniani, kwa mfano parabora tegemea ubishi na kejeli kibao.

Kubwa la maana Kama ulivyoelezea namna ya kuja Geneva, elezea Aina za kazi ambazo haraka haraka mgeni anaweza akaipata, elezea makazi anaweza akajibanza wapi, hata ukimbeba kwa miez kadhaa, then atamudu vipi kujitafutia apartment, je Kuna vyumba au lazima upate apartment?

Wale wanataka kuja kwa kozi fupi fupi za mwaka mmj, je aishi chuoni au mtaani?? Gharama zikoje
 
mkuu wengi wanachukua kibali cha mda cha kuishi mataifa ya karibu na kibali cha kudumu cha kufanya kazi na kuishi nchini uswisi pale boda ukionesha unaruhusiwa
Wewe muongo jamani. France,Germany,Uswiss,Italy hizo zote ni Schengen. Hazina control. Ukitoka Germany kuingia Uswiss unapita tu. Ila wewe jamani khaaaaah.
Mkuu mbona maelezo yako yana utata Uswizi iko EFTA European Free Trade Association na Schengen japo haiko European Union lakini iyo EFTA na Schengen imetosha kwenye makubaliono of free movement without border checks. Hakuna kabisa Uswizi kuangalia vitambulisho ama kukagua vitambulisho.kumbuka Uswizi ni landlocked.

Nchi za EFTA ni Uswizi, Liechtenstein, Iceland na Norway wote hawapo EU japo Schengen lakini makubaliano yao kwenye treaties raia yeyote kutoka EU na EFTA countries have freedom of movement and work without restrictions


Victoire TODAYS
😂😂😂😂 Huyu yupo Geneva ya Rungwe.
 
Wewe muongo jamani. France,Germany,Uswiss,Italy hizo zote ni Schengen. Hazina control. Ukitoka Germany kuingia Uswiss unapita tu. Ila wewe jamani khaaaaah.

😂😂😂😂 Huyu yupo Geneva ya Rungwe.

Hahahaaa Geneva ya Rungwe. 😂😂😂

Na ana roho ngumu kama mchembe wa kiangazi. 😁

Kuna mtu yupo Ulaya ndiyo anakuwa anampa info za huko.

Na yeye pia anasearch sana kwenye internet... that's why anakuwa na dead/repealed data.

-Kaveli-
 
Wewe muongo jamani. France,Germany,Uswiss,Italy hizo zote ni Schengen. Hazina control. Ukitoka Germany kuingia Uswiss unapita tu. Ila wewe jamani khaaaaah.

😂😂😂😂 Huyu yupo Geneva ya Rungwe.
Aisee kweli shenghen ni Kama ukanda huru wa kibiashara kwenye Euro ulibuniwa kimkakati kukuza biashara ni kama huku tunavyoijua corridor
 
Habari zenu wakuu, bado lock-down inaendelea huku.

Ukiachana na hilo kuna memba kanituhumu hapa kwamba niko bongo nilitaka kuleta uthibitrisho wa picha ama video lakini baada ya kuona kejeli nimegundua kumbe watu humu wanachukia sana kusoma maandiko ya namna hii nimeamua kuachana na kujibu ule ujinga wa upuuzi kule kwa vile hakuna mtu yeyote niliyemtapeli na kama unahisi siko huku haina haja ya kuumia wewe RELAX TU mkuu maisha yako yaendelee na kama unahisi nagoogle na wewe fanya hivo hupaswi kuumia kwa vitu visivyoumiza na siko hapa kutongoza mtu kwa hiyo mabaharia msipanick maana kuna watu wananitukana mpaka PM kisa pale chini naadika "Geneva -Switzerland" wengine wananiambia nibadilishe ID na matusi juu kisa eti najimwambafai:D :D NAWAELEZA tu nitaendelea kuandika kile ninachokijua mpaka pale lockdown itakapoisha na nianze kuendelea na ratiba zangu, na badala ya kujibu ule upuuzi leo nimeamua kuizungumzia hii Canton(Mkoa) wa Geneva yenyewe kwa mtu mgeni.

Kwa mara ya kwanza ukiwa unafika hapa na ukatua uwanja wa ndege wa GENEVA kama ni mgeni huwezi kupata shida kama unajua lugha vizuri ya kiingereza japo LUGHA ya kifaransa inatumika sana katika jiji hili, pia kuna lugha zingine kama 3 hivi ni official kutumika hapa jijini. Kifaransa kinatumika sana hapa kwa sababu hili jiji lipo karibu na nchi ya ufaransa kwa kiasi kikubwa mfano mji wa Annemasse wa nchini ufaransa kwa train ni kama dk10 tu unakuwa umefika ukitokea katikakati ya mji wa GENEVA na watu wengi wanaofanya kazi nchini GENEVA huishi hapa ili kukimbia ughali wa maisha jijini GENEVA

Ukiwa hapo Airport ambayo ina Terminal 2 ukishuka unaweza kutumia usafiri wa tax au gari la abiria ambao uko nje ya huu uwanja kuelekea katikati ya mji ama ukapande treni ya chini ya Ardhi iliyo karibu na Terminal 2 ya huu uwanja wa ndege, kutoka hapo kwenye kituo cha treni cha Geneva railway station kama ni mgeni nakushauri uende ubalozi wa Tanzania uliopo hapa Geneva mtaa wa Avenue Blanc kwa msaada zaidi ambapo haizidi dk 15 kwa treni inategemea na route au treni uliopanda ama mda usiozidi lisaa limoja kwa basi na kama ukiwa umechelewa umefika usiku shuka kituo kikubwa kabisa cha treni hapa jijini GENEVA cha Cornavin Railway Station hapa utakutana na hotel za bei rahisi tu ambazo hazizidi $300 kwa siku, umbali wa dk kama 8 kwa kutembea kutoka hapo kituoni kuna msululu wa hotel kama four season, Hotel Geneva na House swisss Hotel

Na kwa vile chakula cha hotel ni gharama hupaswi kabisa kula hotelini wewe lipia chumba tu halafu ingia mtaani angalia migahawa ya Milan, Holy Cow, La Favola na La matze upige msosi kwa bei poa kabisa kabla ya kurudi hotel kusinzia

ukichukua Tax kwa CHF 10 tu ukashuka mitaa ya Cornavin karibu na Migros Supermarket ( Hapa tuelewane sizungumzii Migros Supermarket ya Uwanja wa ndege au ile iliyopo kwenye kituo cha treni utakachopanda cha chini ya ardhi) kuna hotel za bei rahisi pia kama Cornavin Hotel Geneva, Swiss Luxury apartment na hotel Century hizi ni baadhi tu zilizo karibu na za bei nafuu ambazo hazitakupa usumbufu kuzipata, na ukifika usiku zaidi ya saa 6 utalazimika kulala hapo uwanjani mpaka kesho yake ndio utaruhusiwa kuendelea na safari


Prabora
Geneva - Switzerland

Chukua hatua stahiki, Corona ipo na ni hatari
asa mbona hutupi michongo? Km vp tupe michongo ya kutafta hela huko Uswisi, usiishie kutuonesha uzuri wa Geneva tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye hoteli ya bei nafuu kwa dola 300 kwa siku imenifikirisha sana uliposema kwakua chakula cha hotelini ni Ghali sana .. yaaan japo na hiyo Dola 300 bado hupewi chakula??
Mi nikawaza labda unapewa chakula ,hata na dem wakupozea uchovu . Sasa Dola 300 kweli kwaajili yakitanda tuu na tundu la choo ?
Nikiilipa mimi wajue naogea kitandani nikishamaliza lala


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom